Unemployed Man Got Married against Friends Advise..

Unemployed Man Got Married against Friends Advise..

na confess..nimechungulia account ya heaven on desert..just be sure kuwa ni account kweli..
 
ndugu yangu acha kuangalia kwa macho ya kimwili angalia na penda mtu kwa macho ya kiroho kwani hujui kuwa ipo siku pochi litakauka kama maji matulivu yaliyokisimani? sasa hapo patajidhihirisha upendowa kweli ni upi ni ule wa pochi zenye hela au asiye nacho
Unajaribu kulenga jiwe kwangu lakini wenye macho watakuwa wameona unamlenga nani, mimi nilijaribu kuwajibu wale wanaompinga mkuu Rocky wakati wanaelewa ukweli ndiyo huo.

Ukifuatilia kwa makini hapo juu utauona ukweli uko wapi.
 
ngoja nikupe picture ambazo niliwafungisha NDOA zao hivi karibuni na uone style mbalimbali maana yaelekea wewe ni mshamba sana ona hapa sasa:
black m1.jpg black2.jpg black 3.jpg black 6.jpg


hadi wazungu wamekuja pale uparokiani kufungishwa ndoa na mama paroko upo hapo ona hapa:

gg1.jpg gg2.jpg gg3.jpg gg4.jpg SASA UNABISHA?
Hiyo picha mbona kama huyo mkaka anataka kunawa halafu na huyo mdada kama anamgandamiza zaidi vile. Kumbe mnapenda kutomaswa embe dodo kwa nje eeeeh?
 

Attachments

  • black4.jpg
    black4.jpg
    6.2 KB · Views: 52
Hahahaahahaaaaaaaaaa haaaaaaaaaaaa hahaahahahaaaaaa umenichekeshaje mkuu?
Unajaribu kulenga jiwe kwangu lakini wenye macho watakuwa wameona unamlenga nani, mimi nilijaribu kuwajibu wale wanaompinga mkuu Rocky wakati wanaelewa ukweli ndiyo huo.

Ukifuatilia kwa makini hapo juu utauona ukweli uko wapi.
 
hahahahahahahahaaaaaaaa itabidi nikutafute unipe somo la UCHUMBA, NDOA NA FAMILIA
Inawezekana kweli mimi ni mshamba, wakati sisi tunaoa tulikuwa tunafanyia sherehe kwenye viunga vya kanisani hapo hapo, siku hizi nyinyi mpaka muende beach au pale mlimani city mkajianike ili mpigwe picha baada ya hapo kwenye makumbi mengine ya Baa, mengine ya disko ilimradi ni kiwanja cha ibilisi cha kujidai kila siku sis tutawaweza wapi.

Ndiyo maana ndoa za watu siku hizi zinalega lega kwa kuwa walianza na shetani badala ya Mungu.
 
Hakuna kitu kama hicho hii ni true story kabisa
jamaa alibahatisha kuipenda nafsi yake na kutimiza matakwa much as hatujaambiwa makandokando ya jamaa na mkewe tuchukulie kuwa wameweza!!!!

Vipi kama bibie alikuwa akipewa supliments na mdau mwingine na jamaa kazaa nje ila still picha iko kama hivyo!!!!
 
Ohooo kumbe!! sikukupata vizuri mkuu sasa nimekuelewa
sipingani na hiki unachosema, ila nadhani hujanielewa vizuri. Maana yangu ni kwamba wakiandika mr and mrs ni nzuri zaidi kwani wote ni wamiliki kisheria regardless nani atatwaliwa mapema. Kumwandika mamsapu peke yake inamaana jamaa amejivua umiliki kisheria.
 
ngoja nikupe picture ambazo niliwafungisha NDOA zao hivi karibuni na uone style mbalimbali maana yaelekea wewe ni mshamba sana ona hapa sasa:
View attachment 106798 View attachment 106799 View attachment 106800 View attachment 106802


hadi wazungu wamekuja pale uparokiani kufungishwa ndoa na mama paroko upo hapo ona hapa:

View attachment 106803 View attachment 106804 View attachment 106805 View attachment 106806 SASA UNABISHA?
Kwani nimebisha mkuu, nilikubali ndoa zenu za siku hizi ni tofauti na za kwetu siku hizi watu wanapigana mpaka lita hadharani mbele ya watoto. Si ndiyo ukisasa huo mnaoutaka kwani nabisha.

Siku hizi hata kicheni pati wanaume tunaruhusiwa kuingia na sasambusasambu tunaishuhudia, huo si ndiyo ukisasa mnaoutaka huo, kwani tunabisha.
 
jamani jamani jamani jamani mweee imbombo sibhele @JounGwalu isagha kuno, grafani11 anasema mambo ya kisasa yako kwenye NDOA za siku hizi, sio mm lakini
 
Last edited by a moderator:
jamani jamani jamani jamani mweee imbombo sibhele @JounGwalu isagha kuno, grafani11 anasema mambo ya kisasa yako kwenye NDOA za siku hizi, sio mm lakini
Ukiona mpaka lugha za asili zinaongelewa humu ujue pengine kuna watu wenye mishale wanaalikwa waje kunishughulikia. Ngoja nitoe kitu changu chenye ncha kali na tindikali ziwe standby.
 
ona huyu aliyeandika hii post yake samahani kama itakuboa :nimeona niipaste hapa haya ndo mambo nisiyoyataka huwezi penda mtu kwa tamaa za kimwili tu yani kuangalia uwezo wa kipesa alionao ona hii sasa:


[lengo langu ni kuomba dada mmoja mrembo mwenye vigezo vifuatavyo niwe nae mpaka mwisho wa dunia hii ya mwenyezi mungu:
>>awe na imani sana kwa yesu kristo ,yaani mshika maandiko.
>>awe ana elimu kuanzia diploma kwenda juu kwa fani yeyote.
>>awe ameajiriwa na anakipato kama mimi nilivyo na kipato.
>>awe anaishi kwake si tegemezi tena, mwenye uhuru wa kimaisha kama mtu mzima.
>>awe si mfupi bali wa wastani au mrefu
>>awe mrembo wa sura na asiwe mweusi hata kidogo.
>>awe na umbo zuri.

cc😡Mtambuzi, Ruttashobolwa, Asprin, Chimbuvu, Madame B, madameA, Bujibuji (rudi kwenu), watu8
QUOTE=g
rafani11;7062251]Unajaribu kulenga jiwe kwangu lakini wenye macho watakuwa wameona unamlenga nani, mimi nilijaribu kuwajibu wale wanaompinga mkuu Rocky wakati wanaelewa ukweli ndiyo huo.

Ukifuatilia kwa makini hapo juu utauona ukweli uko wapi.[/QUOTE]
 
Last edited by a moderator:
hehheheehehhehhehheee uuwiiii nafwa mie my laazizi njoo uniokoe humu mjengoni
Ukiona mpala lugha za asili zinaongelewa humu ujue pengine kuna watu wenye mishale wanaalikwa waje kunishughulikia. Ngoja nitoe kitu changu chenye ncha kali na tindikali ziwe standby.
 
sasa mtu anapenda pesa kama Bishanga, Mwita Maranya kuliko utu wa mtu jamani naona hata wewe utazipenda kama ukimpata mtu atakayekupa hizi mm.jpg
Ukiona mpala lugha za asili zinaongelewa humu ujue pengine kuna watu wenye mishale wanaalikwa waje kunishughulikia. Ngoja nitoe kitu changu chenye ncha kali na tindikali ziwe standby.
 
Last edited by a moderator:
sasa mtu anapenda pesa kama Bishanga, Mwita Maranya kuliko utu wa mtu jamani naona hata wewe utazipenda kama ukimpata mtu atakayekupa hizi View attachment 106811
Chidumule aliwahi kuimba, "usitumie pesa kama fimbo mama mambo ya penzi yataka kwanza maelewano hapo ndipo pesa huwa na thamaniiiii...."

Hata njiwa kwenye tundu ana mpenzi wake ingawa hajui noti wala shilingi.
 
nipo break na mapenzi yamenishinda mie.....

Naomba kukuuliza swali chungu: Kakuchoka au umemchoka!??

In other news: I was really waiting for this moment...napatikana kwa:

C/O Mchungaji kiongozi,
SLP 1041,
Uru Kishumundu, Mdawi, Kotella, Moshi Vijijini, Kilimanjaro.
 
Mmmhh ladyfurahia na hiyo avatar yako jamani!!

Kastory katamuuu sana.

Yah kuna stori nyingi sana za mapenzi ya ukweli na ya kuogopesha.
Ukipata mwanamke wa hivyo hakika umepata kila kitu maishani.

Kuna stori iliwahi kuletwa hapa na either BAK au The Finest juu ya wapenzi wazee ambapo babu alibaki na penzi lilelile kwa bibi kwa zaidi ya miaka 5 wakati bibi kapoteza kumbukumbu.
Ni stori ambayo siwezi kuisahau na ilinisisimua sana.

Kuna vingine tunajifunza na vingine vinabaki burudani za jamvini tu.
 
Last edited by a moderator:
Mentor tutakutoa baru humu usichakachue thread hapa
mtumie PM umwambie Smile umemmiss bana
halafu toa maoni yako kwenye huu uzi Mentor maana tunajua wewe ni mzoefu wa haya mambo

Kaka Mr Rocky, hisia hazifichiki!!!

Back to the topic: Ze topic ni ngumu kiasi...siku hizi mimi mapenzi basi...
 
Last edited by a moderator:
wakati mwinginne ni burudani na wakati mwingine ni mafundisho pia ila yategemea yamekukuta katika mazingira gani au yako katika mazingira tunayoishi sasa best
Mmmhh ladyfurahia na hiyo avatar yako jamani!!

Kastory katamuuu sana.

Yah kuna stori nyingi sana za mapenzi ya ukweli na ya kuogopesha.
Ukipata mwanamke wa hivyo hakika umepata kila kitu maishani.

Kuna stori iliwahi kuletwa hapa na either BAK au The Finest juu ya wapenzi wazee ambapo babu alibaki na penzi lilelile kwa bibi kwa zaidi ya miaka 5 wakati bibi kapoteza kumbukumbu.
Ni stori ambayo siwezi kuisahau na ilinisisimua sana.

Kuna vingine tunajifunza na vingine vinabaki burudani za jamvini tu.
 
Mkuu jouneGwalu nadhani atakuwa The Finest maana mie siikumbuki.

Mmmhh ladyfurahia na hiyo avatar yako jamani!!

Kastory katamuuu sana.

Yah kuna stori nyingi sana za mapenzi ya ukweli na ya kuogopesha.
Ukipata mwanamke wa hivyo hakika umepata kila kitu maishani.

Kuna stori iliwahi kuletwa hapa na either BAK au The Finest juu ya wapenzi wazee ambapo babu alibaki na penzi lilelile kwa bibi kwa zaidi ya miaka 5 wakati bibi kapoteza kumbukumbu.
Ni stori ambayo siwezi kuisahau na ilinisisimua sana.

Kuna vingine tunajifunza na vingine vinabaki burudani za jamvini tu.
 
Last edited by a moderator:
imenibidi nimuweke huyu jamaa (J. cena) ili anilinde kwani nimekuwa mwiba kwa wengine naogopa watanidhuru bure
Mmmhh ladyfurahia na hiyo avatar yako jamani!!

Kastory katamuuu sana.

Yah kuna stori nyingi sana za mapenzi ya ukweli na ya kuogopesha.
Ukipata mwanamke wa hivyo hakika umepata kila kitu maishani.

Kuna stori iliwahi kuletwa hapa na either BAK au The Finest juu ya wapenzi wazee ambapo babu alibaki na penzi lilelile kwa bibi kwa zaidi ya miaka 5 wakati bibi kapoteza kumbukumbu.
Ni stori ambayo siwezi kuisahau na ilinisisimua sana.

Kuna vingine tunajifunza na vingine vinabaki burudani za jamvini tu.
 
Back
Top Bottom