Unemployed Man Got Married against Friends Advise..

Unemployed Man Got Married against Friends Advise..

ladyfurahia

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2011
Posts
14,758
Reaction score
9,592
Hay my friendly;

My frendo share this real life story if you love it


**"You can't be paying the bills for him and still be doing all the work in the House". - wife's friends advised.
A Guy who has no job got married to a banker, despite his fears and several advices that it's not good to marry without a job. Every month the girl would give the guy her full salary of N135k after removing her tithe.

The guy would give the wife N20k for personal upkeep and the guy determined what happened to the remaining money. This happened for three good years. There was happiness in the family and the wife never refused to do her primary home duties for that 3 years, despite wrong advice from friends that 'you can't be paying the bills and still be doing all the work'.

There was a particular month the guy used about N70,000 to travel from state to state for different interviews. He finally got a job with a good firm in Port-Harcourt. His salary was N600,000 monthly for a start. He bought his first car (a brand new) for N4.5m, he gaved wife the car key, and continued to take public transport to work for about two years.





new.jpg "real love "


Then he bought the second car for N6 million. Then he took the keys of the first car and gave his wife the keys of the second car. They were very happy. They eventually moved into their own house after few years. One day, the wife was looking for some documents. Then she stumbled on a file neatly hidden, when she opened it, she saw her wedding picture when she was very slim in the first page of the file.

She then saw that the document to the purchase of the land and every other thing in the house were all written in her name! At the last page was the husband's wedding picture and a note written by him:
''MY WIFE IS ALL I HAVE GOT. NOT EVEN THIS HOUSE WORTH N24M AT THE TIME I BUILT IT IS MINE''.

Tears started to roll down her eyes as tried to put the documents neatly as she saw them and walked back to the kitchen. This couple got married in 1998. Last Sunday was their wedding anniversary with three children, two boys and a girl.

True LOVE still exists till this day. Are you sure the love you have for your partner can be compared to this one you just read? No matter what, remember you chose each other. So share. It doesn't matter who puts food on the table.


cc: Mamndenyi, Nicas Mtei, Passion Lady, sweetlady, FirstLady, charminglady, Lady doctor, Heaven on earth, heaven on desert, Smile, amu, Asprin, Mtambuzi, kabanga, Mwita Maranya, Ruttashobolwa, Mr Rocky, Arushaone, Filipo, LiverpoolF, Mentor, KakaKiiza, Kipaji Halisi, stevoh, The secretary, Bishanga, kokuTUNA, cacico, gfsonwin, snowhite, lara 1, Himidini, Donn, Erickb52, Bujibuji, watu8, na maarafiki wengine niliosahau majina yenu nawapenda.
 
Last edited by a moderator:
Mhhh touching story ila ladyfurahia haya mambo sidhani hawa wadada wa kidigital watakubaliana na haya mambo ya kuoana na mwanaume goal keeper ambaye hajui ni lini atapata kazi
Na kweli kwa upande mwingine kulikuwa na true love between the guy and the lady maana kufikia kutoa mshahara wake kumpa mwanaume akae nao wakati anajua kuwa he can still use the money kwenye ufuska kama angeamua was hard decision
Ila swali wapo kama hao kwa kizazi hiki cha digital hebu grafani11 na HorsePower na mwalimu wangu gfsonwin waniambie na kaka SnowBall na Bishanga na Asprin waseme hapa
 
Last edited by a moderator:
Mhhh touching story ila ladyfurahia haya mambo sidhani hawa wadada wa kidigital watakubaliana na haya mambo ya kuoana na mwanaume goal keeper ambaye hajui ni lini atapata kazi
Na kweli kwa upande mwingine kulikuwa na true love between the guy and the lady maana kufikia kutoa mshahara wake kumpa mwanaume akae nao wakati anajua kuwa he can still use the money kwenye ufuska kama angeamua was hard decision
Ila swali wapo kama hao kwa kizazi hiki cha digital hebu grafani11 na HorsePower na mwalimu wangu gfsonwin waniambie na kaka SnowBall na Bishanga na Asprin waseme hapa
na hao wanaume wa siku hizi mna mapenzi ya kusaidia wake zenu magoal keeper kwa moyo? mbona wanaume naona wanatafuta tu wamama wanaojiweza....watu ni wabinafsi kweli siku hizi kwa pande zote
 
Mhhh touching story ila ladyfurahia haya mambo sidhani hawa wadada wa kidigital watakubaliana na haya mambo ya kuoana na mwanaume goal keeper ambaye hajui ni lini atapata kazi
Na kweli kwa upande mwingine kulikuwa na true love between the guy and the lady maana kufikia kutoa mshahara wake kumpa mwanaume akae nao wakati anajua kuwa he can still use the money kwenye ufuska kama angeamua was hard decision
Ila swali wapo kama hao kwa kizazi hiki cha digital hebu grafani11 na HorsePower na mwalimu wangu gfsonwin waniambie na kaka SnowBall na Bishanga na Asprin waseme hapa
Mkuu ni sawasawa kwa wakati huu tulionao kumpata mwanamke wa aina hiyo ni sawa na kuokota embe dodo chini ya mti wa mpera. Kuna wakati mmoja mdada (jina limehifadhiwa) alileta uzi akilalamikia mwanaume wake kumtegemea yeye kwa manunuzi ya vitu vingi vya nyumbani.

Niliona jinsi ilivyotendewa haki na wadada humu, ikionesha jinsi gani wanapingana na hali hiyo.
 
na hao wanaume wa siku hizi mna mapenzi ya kusaidia wake zenu magoal keeper kwa moyo? mbona wanaume naona wanatafuta tu wamama wanaojiweza....watu ni wabinafsi kweli siku hizi kwa pande zote
Smile ukikaa nyumba ya vioo usikubali watoto warushe mawe kwako
Kwa pende zote mapenzi kama haya hakuna tunaumizwa wote na tunaumizana sana linapokkuja swala la mapenzi ya kweli bbaina ya watu na ndo maana ndoa nyingi zinavunjika kwa vitu kama hivi mtu ana expect kukuta mambo yako kwenye asilimia mia anakutana na mambo ya uswazi full kwa nini ndoa isiende mrama
 
Last edited by a moderator:
Hay my friendly;



View attachment 106786"real love "



True LOVE still exists till this day. Are you sure the love you have for your partner can be compared to this one you just read? No matter what, remember you chose each other. So share. It doesn't matter who puts food on the table.


cc: Mamndenyi, Nicas Mtei, Passion Lady, sweetlady, FirstLady, charminglady, Lady doctor, Heaven on earth, heaven on desert, Smile, amu, Asprin, Mtambuzi, kabanga, Mwita Maranya, Ruttashobolwa, Mr Rocky, Arushaone, Filipo, LiverpoolF, Mentor, KakaKiiza, Kipaji Halisi, stevoh, The secretary, Bishanga, kokuTUNA, cacico, gfsonwin, snowhite, lara 1, Himidini, Donn, Erickb52, Bujibuji, watu8, na maarafiki wengine niliosahau majina yenu nawapenda.
Kumbe Heaven on Earth una pacha wako, mbona hatutambulishani wangu? Au unasubiri mpaka ajali itokee uje upime?
 
Mkuu ni sawasawa kwa wakati huu tulionao kumpata mwanamke wa aina hiyo ni sawa na kuokota embe dodo chini ya mti wa mpera. Kuna wakati mmoja mdada (jina limehifadhiwa) alileta uzi akilalamikia mwanaume wake kumtegemea yeye kwa manunuzi ya vitu vingi vya nyumbani.

Niliona jinsi ilivyotendewa haki na wadada humu, ikionesha jinsi gani wanapingana na hali hiyo.

Mkuu grafani11 mapenzi ya kweli kwa hali halisi hayapo na eti utegemee unamuoa mwanamke huna kazi huna kipato wakati yeye ana kipato useme utegemee mshahara wake au afanye kama alivyofanya huyo dada hapo ni pagumu
 
Last edited by a moderator:
Mkuu ni sawasawa kwa wakati huu tulionao kumpata mwanamke wa aina hiyo ni sawa na kuokota embe dodo chini ya mti wa mpera. Kuna wakati mmoja mdada (jina limehifadhiwa) alileta uzi akilalamikia mwanaume wake kumtegemea yeye kwa manunuzi ya vitu vingi vya nyumbani.

Niliona jinsi ilivyotendewa haki na wadada humu, ikionesha jinsi gani wanapingana na hali hiyo.
tatizo la wabongo hawafugiki mkuu! unakuta mwanaume wallet ziro ila utulivu hakuna..believe me wala wanawake hatupendi wanaume matajiri kiivo....sema ndo hivo maskini wa pesa bongo ni maskini wa mapenzi pia...sasa mtu afanyeje ndo maana mtu anaona bora ajilipue na mifwedha...
 
mwana umeongea hapa ndo mana ndoa za siku hizi zimejaa kidigitali zaidi na zinavunjika kila mara
Smile ukikaa nyumba ya vioo usikubali watoto warushe mawe kwako
Kwa pende zote mapenzi kama haya hakuna tunaumizwa wote na tunaumizana sana linapokkuja swala la mapenzi ya kweli bbaina ya watu na ndo maana ndoa nyingi zinavunjika kwa vitu kama hivi mtu ana expect kukuta mambo yako kwenye asilimia mia anakutana na mambo ya uswazi full kwa nini ndoa isiende mrama
 
Smile ukikaa nyumba ya vioo usikubali watoto warushe mawe kwako
Kwa pende zote mapenzi kama haya hakuna tunaumizwa wote na tunaumizana sana linapokkuja swala la mapenzi ya kweli bbaina ya watu na ndo maana ndoa nyingi zinavunjika kwa vitu kama hivi mtu ana expect kukuta mambo yako kwenye asilimia mia anakutana na mambo ya uswazi full kwa nini ndoa isiende mrama
honestly mapenzi mapenzi kabisa bwana ...mmmh hata huwa sielewi ...ila ukitaka kujua rafiki wa kweli pata shida aiseee ......who cares? utakufa mwenyewe
 
tatizo la wabongo hawafugiki mkuu! unakuta mwanaume wallet ziro ila utulivu hakuna..believe me wala wanawake hatupendi wanaume matajiri kiivo....sema ndo hivo maskini wa pesa bongo ni maskini wa mapenzi pia...sasa mtu afanyeje ndo maana mtu anaona bora ajilipue na mifwedha...
Haya mapenzi haya mbona majanga! kila mtu analia kapigwa jiwe sasa hakimu atamhukumu nani.
 
Back
Top Bottom