ladyfurahia
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 14,758
- 9,592
- Thread starter
- #41
kwani kuna ubaya gani besti akimwandikia mali zote, si unajua ndugu watakuja juu kutaka kunyima mali zake wakati Bwana akimmtwaa huyo mbaba au mmojawapo hapo?
wapo wachache sana wanaoweza kuwa kama huyo dada...
Ila pamoja na hayo sikuona logic ya jamaa kumwandikisha mali zote, why not Mr and Mrs.....?