Under Pressure: Kikwete Caves in-Serengeti Road Project Scrapped!

Inashangaza sana!serikali gani isiyokuwa na msimamo.we are not free!magufuli ajiuzulu kama ana akili.
 
Inaonekana watu wa mikoa ya Kaskazini hawakuitaka barabbara ijengwe sasa sisi watu wa Pwani tunaomba hizo pesa ziletwe huku ili tuendeleze maeneo yetu

Nakubaliana na wewe kwa asilimia 100 , l\kini hili h\litawezekana an ile pesa hutajua kuwa imeenda wapi hata siku moja itaishia kwenye matumbo yao. hii hapo chini ni barabara ya kwenda kusini huko, na huko ccm imekuwa inaendelea kuchukua viti vya ubunge kila siku huku wananchi wake wakiendelea kufa kwa umasikini an kuishi maisah ya ajabu ajabu ,nakuhakikishia hii pesa haitkuja kwenu labda tupige makelele sana,
wana roho mbaya sana hawa yaani walikuwa tayari kujenga bara bara kwenye mbuga kwa sababu tu kuna mahoteli yao kule ili waendelee kunufaika huku wakiacha kujenga barabara kama hii hapa ya kusini na nyinginezo ..
kuna nyingine inatokea pale mombasa-ukonga kwa nini wasiinjenge na wakati inatumiak kila siku? kwa nini wakanalazimisha kujenga huko porini?
ccm hii ina roho mbaya sana ..bora wamebanwa hadi wamekubali wenyewe

IMG03059-20110516-1052.jpg
 
Kumbe hujui kuwa hii kampeini ilianzishwa na mwandishi mmoja habari hapo Mombasa kenya akatuma barua nyingi sana kwa organization mbalimbali duniani mwanzoni mwa mwaka jana. Siyo swala la commn sense na propaganda likitiliwa mkazo na unyonge na umasikini wetu. Watu Kutoka Dar kwenda Musoma au Mwanza wanatakiwa eti wapitie Nairobi.

mkuu again umepotosha hakuna mtu anayepitia nairobi siku hizi kutoka mwanza au musoma
watu wanapia hapa hapa hii barabara ya kati tena kwa siku moja

kama huyo jamaa alituma hiyo barua alikuwa na faida gani? na ni hasara gani kenya watapaka kama hiyo barabara ikijengwa?



Kama kweli wanataka kutupa hela kuzuia kuharibiwa kwa njia za wanyama basi watoe pesa hizo ili tujenge barabara hiyo juu kwa juu bila kukatisha njia za wanyama. Tunapopanga mipango yetu harafu eti tunakatazwa na sisi tunakubali kirahisi, ni ujinga na unyonge wa hali ya juu sana. Najua kuwa ingekuwa nchi nyingine labda hilo lisingetokea.

hata kama itapita juu magari yatawekewa kizuizi cha sauti pia?
na ghalama hizo kwa manufaa yapi?

kama wana hela wajenge barabara za Dar zinamanufaa sana kiuchumi

kumbuka mimi naongea kutoka eneo la tukio sio habari za kusikia kama wewe mara unasema watu wapita kenya kwenda DAR hii ni habari ya zamani sana eti
 
Ok ni good news, sasa wameweka option gani?
maana kulikuwana ile ya kujenga kupitia Karatu then south part of ngorongoro and serengeti kwenda mkoa wa Mara

huo mkoa wa mara unachomekwa tu hapa kuna nini kinapatika arusha hakipo mwanza?
 
mombasa-ukonga..kuna kama km3-6 tu hivi lakini hawataki kujenga wanan'gan'gania kwenda kujenga katikati y mbuga
safari mbili za JK zijaenga hii
943947_orig.jpg
 
Lakini hivi hizi bara baa zinazojengwa zinafuata prority kweli

Binafsi naona Kuunganisha Mkoa wa kigoma Na kanda ya ziwa ni more prority kuliko Musoma Arusha.

Tuna ufinyu wa bajeti na resouces za kutosha lakini hata kwenye maamuzi na prioritisation zetu kuna ufinyu wa mawazo.

Serikali inatakiwa ipange miardi ya bara bara kulingana prority na kitaifa sio kisiasa. Kigoma is the region inayabidi ingaliwe.
 
mombasa-ukonga..kuna kama km3-6 tu hivi lakini hawataki kujenga wanan'gan'gania kwenda kujenga katikati y mbuga
safari mbili za JK zijaenga hii
943947_orig.jpg


hii barabara kama vile hiko wapi sijui ni tatizo la muda mrefu
mbunge kaingia mitini sidhani kama huyo mbunge hatarudi na wala sidhani kama ana nia ya kurudi tena mjengo kaisha lamba mtaji wa biashara mamilioni hayo wanayolipana

nadhani wabunge wengi wa magamba wanajua hakuna kurudi ndio maana kwenye posho ni wakali kama mbwa aliyemaliza kuzaa
 
wenyeji wa huko kaskazini wamepiga kampeni hawaitaki hii barabara

sisi wa kusini tunaomba hizo pesa ziletwe kwetu tuimarishe bandari ya Mtwara
 
Check your facts, this story is about the 50km section only, the rest of the project is still on course.
 
data gani unazitaka? na wewe una hisa kwenye yale mahoteli?
Serengeti Watch this month obtained a copy of an environmental and social impact study on the road that was completed for Tanzania's government. The copy was leaked to the group, Blanton said.
The study found that by 2015, 400 vehicles a day will cross the section of road that cuts across the Serengeti. By 2035, the report predicts that 3,000 cars a day will use the road, Blanton said.
"If you multiply that out by 365 days a year that's a million vehicles a year, so they have clear plans for a major commercial route between Lake Victoria and the Indian Ocean," Blanton said. "I think common sense would say with that volume of traffic there is no way you could have a dirt road on top of that soil. Paving and fencing is the future. No one doubts that."!!

Na wewe tumia akili unaposoma maandishi ili uwe unayaelewa kwa mapana na marefu kuliko kukopi na kupaste tu. Hiyo paragraph uliyoweka hapo haiongei lolote kuhusu wanyama kuathirika na barabara. Nadhani linaloongelewa hapo ni tamko la serikali kuwa hawataweka lami bali wataweka changarawe; na huyo mtaalamu wako anasema kuwa ni lazima wataweka watakuja kuweka lami na fence huko mbeleni. Again hizo ni speculations tu. No proof, no Scientific conclusion
 
mkuu again umepotosha hakuna mtu anayepitia nairobi siku hizi kutoka mwanza au musoma
watu wanapia hapa hapa hii barabara ya kati tena kwa siku moja

kama huyo jamaa alituma hiyo barua alikuwa na faida gani? na ni hasara gani kenya watapaka kama hiyo barabara ikijengwa?





hata kama itapita juu magari yatawekewa kizuizi cha sauti pia?
na ghalama hizo kwa manufaa yapi?

kama wana hela wajenge barabara za Dar zinamanufaa sana kiuchumi

kumbuka mimi naongea kutoka eneo la tukio sio habari za kusikia kama wewe mara unasema watu wapita kenya kwenda DAR hii ni habari ya zamani sana eti

Nimefuatilia mjadala huu kwa karibu sana tangu ulipoanzishwa na yule mwandihi kule facebook, kwa hiyo inawezekana wewe uliukuta katikati; tafuta thread hiyo ipo hapa JF sikumbuki wapi tena.
 
invisible na JF wameingizwa kwenye hii kampeni ya NO matokeo yake hata waliokuwa na opposite views mawazo yao walikwamishwa kabisaa

dark forces za WWF zimefanya sana kazi
 

Hivi inakuwaje member au MODs wanabadilisha kichwa cha habari nilichoaanzisha kwenye thread yangu bila idhini? Mimi nilianzisha thread yenye kichwa cha habari 'Serengeti road scrapped over wildlife concerns -BBC' lakini imebadilishwa na kuwa 'Under Pressure: Kikwete Caves in-Serengeti Road Project Scrapped!' bila kujitambulisha aliyebadilisha. Maana yake nini?
 
jamani watanzania tuamke,maana killa siku tunadanganywa kama watoto wadogo na ni wepesi sana kusahau,hvi mnakumbuka kuna wakati mh,JK aliwahi kutuambia ya kuwa kuna gesi ya kutosha ambayo inaweza kutumika kuzalisha umeme kwa miaka 100,sasa iweje leo tunaambiwa gesi ya kuzalisha umeme imikwisha?ndio chanzo cha HUU MGAO.pia bwana mkullo asemapo serikali inapanga kulivunja shirika la umeme,hivi kwani Tanesco wanatatizo gani zaidi ya uzalendo,mikataba yote inafanywa na serikali,sasa mi najua tatizo lipo kwa watendaji wa serikali sio Tanesco
 
Na wewe tumia akili unaposoma maandishi ili uwe unayaelewa kwa mapana na marefu kuliko kukopi na kupaste tu. Hiyo paragraph uliyoweka hapo haiongei lolote kuhusu wanyama kuathirika na barabara. Nadhani linaloongelewa hapo ni tamko la serikali kuwa hawataweka lami bali wataweka changarawe; na huyo mtaalamu wako anasema kuwa ni lazima wataweka watakuja kuweka lami na fence huko mbeleni. Again hizo ni speculations tu. No proof, no Scientific conclusion
hata hivyo bara bara haitajengwa
 
Back
Top Bottom