Madame B
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 29,967
- 32,265
mh unachakachua hadi thread,km wataka kumsalimia c u-pm?
Shost mbona wivu jamani?
Amenimiss jama!!
mh unachakachua hadi thread,km wataka kumsalimia c u-pm?
Umeona eeeehShost mbona wivu jamani?
Amenimiss jama!!
beibe nasty mamito umenchekesha thana, btw vp hbr za bandari salama?
Sichakachui tena charminglady
Hahahaaaa shem nimekuona ulivyojilaza lolSalama tuu huku mpenzi mejilaza namtazama huyo anna makinda
Yani hapo ni full mauno kwa kwenda mbereee!!
Wavulana walikuwa wanakomajeee enzi hzo pale Forodhani..!!!
Dah!
Natamani nirudi utotoni jama.
Charm shost we enz hzo shule gani?
Yani n'likuwa natamani saa 7 isifike haraka.
Idi Amini wa Uganda
anajifanya Kamanda
hata kama akishikwa
atazikwa bila sanda
..........................................
Hapo tuko kwenye mchaka mchaka
duh,me nlikuwa st.kayumba kule kwetu tandahimba. mwe hata me nautamanije utoto mamie!
Hahaaaa hiyo ni verse ya pili charmingladysie tulikuwa tunaimba hv
iddi amin akifa akifa mimi siwez kulia kulia ntamtupa kagera kagera awe chakula cha mamba cha mamba!
Sichakachui tena charminglady
Ngoja namalizia kuongea na CUTE then nakuimbia wimbo mmoja then naongea na Madame B then nakuimbia mwingine halafu nasema faster
.................................................
Mbuga za wanyama wa Tanzania
Ya Kwanza ni Serengetiiii.....Ngorongoro...Manyara na Mikumi
Watanzania oyeeeeeeeee
.........................................................
Nimekumbuka wimbo huu:
Karudi baba mmoja, toka safari ya mbali.
Kavimba yote mapaja, na kutetemeka mwili...
'SIZITAKI MBICHI HIZI'
Salama tuu huku mpenzi mejilaza namtazama huyo anna makinda
Nnao ukumbuka mie unachukiza huo balaa! Mtavumilia? N.way... Wacha niendelee, "ccm mauaa popote huchanua! Twendeeni tukalijenge taifaaa...!!"