Unawezaje kumudu wake wawili?

Unawezaje kumudu wake wawili?

inategemea sana na mke anaeletewa mwenzie ndani yukoje kama mie ili mradi naelewa ni jambo lipo katika dini yangu why mume wangu akazini nje kumbe ana uwezo wa kumuoa aoe tu namruhusu na ukiona mwanamke wa kiislam hakubali matha hii ujue dini yake mwenyewe inamshinda.

Mm ni muislam safi tena niliesoma lkn uke wenza mungu aniepushie mbali,haki ilikuwa kwa mtume tu co wkt huu
 
Nina hakika mwenye kuijua dini haendi kinyume na yalioagizwa mam
Basi ni wachache sana wanaijua dini kumbe,
Kuna mama mmoja hivi ni mshika dini na ni swala tano haswaa,
ila alikataa uke wenza katakata ati hayuko tayari mwishowe ilikuwa vurugu tu
 
Basi ni wachache sana wanaijua dini kumbe,
Kuna mama mmoja hivi ni mshika dini na ni swala tano haswaa,
ila alikataa uke wenza katakata ati hayuko tayari mwishowe ilikuwa vurugu tu

Ninaweza kua na njaa na nisile vilevile
 
Mimi kwa uelewa wangu wa miaka hii jinsi ukewenza unavyowatatiza wanawake wengi haukuanza leo wala jana ukisoma khabari za mama yetu Sarah na haajira kilichotokea kama mfuatiliaji wa mambo hayo utakuwa umenielewa

na waqt ni bibi Sarah mwenyewe ndio alimwambia nabii Ibrahim amuoe haajira.Nadhani kimaumbile wanawake wengi wana udhaifu huo na si suala la kushiba dini kama mchangiaji alosema hapo juu.
 
Mm ni muislam safi tena niliesoma lkn uke wenza mungu aniepushie mbali,haki ilikuwa kwa mtume tu co wkt huu
Ustadhaa mbona unaikimbia Sunna ?!! Vijana wamekuwa wengi bila ndoa!! Madame S Patriotic mfano wako uwe wa ukweli...... ( Bidhaa asili ni adimu) noiselessly hunter SURRAT An-NISSA ina wahami walo wengi.....(wanawake) Apologise lady KUNA FORMULA ya maridhiano bhana....... (usijali gharama)
 
Last edited by a moderator:
a ha ha haa unamaanisha nini tena hahahahaha
Baada ya utafiti na uchambuzi kadhaa.. nimegundwa Mathnaa, wa thulathaa, wa Rubaa kuwa haileti STRESS !!! Yenye kuleta masaiybu ni kuegemelea MONEY ($$$) yaani ukiBase kila jambo ni money!!
 
baada ya utafiti na uchambuzi kadhaa.. nimegundwa Mathnaa, wa thulathaa, wa Rubaa kuwa haileti STRESS !!! Yenye kuleta masaiybu ni kuegemelea MONEY ($$$) yaani ukiBase kila jambo ni money!!

Yes nimekuelewa sana tu umeona enh mathna wa thulathaa kaka fanya hima uongeze mke
 
Hata wazee wa zamani walikuwa wanaoa mitala na kuacha wake zao wajilishe wenyewe. Siku hizi hela madada mnazo kwa hiyo haki yenu ni dushe tu. Hivi hizi taarifa za sensa kuwa female ni wengi ni za kweli.? Kwa watoto kweli ni mtihani

Ni kweli wanawake ni wengi ila vikongwe ndio tunaongeza idadi hiyo wanaume wengi hawaishi muda mrefu ila kwa vijana mko sawa
 
Muhimu ni kuwa unatakiwa uwe na uwezo wa kuwahudumia kimahitaji(kifedha)then panapo 6x6 uwe vizuri maana wanawake wana tabia ya kukukomoa kwa kuwa umeoa mke mwingine,ukichemsha idara hiyo msaidizi anakuhusu aisee!!!!
 
Back
Top Bottom