Unawezaje kumudu wake wawili?

Unawezaje kumudu wake wawili?

Kwa hiyo unataka uongeze wa pili au watatu???? ila chotara wazuri aisee.
Sasa Mke mkubwa anabaki ughaibuni.... Mie narudi nyumbani kusimamia uwekezaji na vitega uchumi, Kwanini nisioe mzawa tujiliwaze ?? (alafu mnag'anania rangi moja wee... mmmh hamujichoki ?!!)
 
Sasa Mke mkubwa anabaki ughaibuni.... Mie narudi nyumbani kusimamia uwekezaji na vitega uchumi, Kwanini nisioe mzawa tujiliwaze ?? (alafu mnag'anania rangi moja wee... mmmh hamujichoki ?!!)

Aisee!! umenichekesha, binadamu anajichoka kwani???? Angalia yule mwanamke wakiarabu asije kutua ghafla DSM akatoa roho ya mtu, mume anaumaa atii.
 
Aisee!! umenichekesha, binadamu anajichoka kwani???? Angalia yule mwanamke wakiarabu asije kutua ghafla DSM akatoa roho ya mtu, mume anaumaa atii.
Kweli yaani kila siku unaona watoto weupe weupe (hata paka huchanganya) Labda mix color wankujaga na baraka...huoni Bark.Husen Obama ?!!
halafu huyo wa Ughaibuni ashatosheka nyumba na watoto anao!! Maisha ndo kwanza yanaanza with 2nd,3rd phase!!
 
Kweli yaani kila siku unaona watoto weupe weupe (hata paka huchanganya) Labda mix color wankujaga na baraka...huoni Bark.Husen Obama ?!!
halafu huyo wa Ughaibuni ashatosheka nyumba na watoto anao!! Maisha ndo kwanza yanaanza with 2nd,3rd phase!!

Tobaaaaaaaaaaaaaa!!!! umeamua kujilipua aisee! ukiingia 2nd phase nitamwambia.



Ni email baadaye nataka nitete ki2, email adress zimejidelete kwangu.
 
Tobaaaaaaaaaaaaaa!!!! umeamua kujilipua aisee! ukiingia 2nd phase nitamwambia.



Ni email baadaye nataka nitete ki2, email adress zimejidelete kwangu.
Toba ya nini tena... Wee njoo tujenge taifa lenye vizazi imara, akili pevu (double blood) !!
 
Tabaaaaaaa!!! ya mshangao hiyoo, nashangaa chotara kukuishi manzese. ushawahi kuona panya road chotara?????
Mbona tuliitawala nchi nzima kwa miaka 400 ?!! tukagawa mikoa kwa majina yetu!! itakuwa kuishi Manzese na Panya rodi... kwani wewe hutonilinda baada ya Mungu ?!!
 
Mbona tuliitawala nchi nzima kwa miaka 400 ?!! tukagawa mikoa kwa majina yetu!! itakuwa kuishi Manzese na Panya rodi... kwani wewe hutonilinda baada ya Mungu ?!!

Nilikwambia niletee :laser:, sasa fanya mchakato niletee kadogoo kakuingia kwenye wallet, kuna watu wanakera wanatamani niwatulize huku. alafu mimi nitakulinda daima ukiwa huku. upo hapo????
 
ndoa mbili ni kukaribisha umaskini kwa familia. pato lako gawa kwa mbili.
 
Unataka kuoa/kuolewa?
funguka tukusaudie.
Nina kakangu ana wanawake7 na wote ni wa ndoa(ndoa za kimila)na ni marafiki na wanaishi kama ndugu.
Mie mwenyewe nina............
 
Mpaka leo sijaona na wala cjpata mtu wa kunipa sababu za msingi za kua na wake wawili...
swala la tamaa ni jambo la uamuzi..ukijiona una tamaa ni wewe umeamua kuw hivyo na haimaanishi ukioa mke wa pili bas tamaa yako itaisha....sabab wanawake warembo hawaishi,kama swala ni tamaa bas tukubaliane kwamba utaendelea kuoa tuu to infinite...
 
Mpaka leo sijaona na wala cjpata mtu wa kunipa sababu za msingi za kua na wake wawili...
swala la tamaa ni jambo la uamuzi..ukijiona una tamaa ni wewe umeamua kuw hivyo na haimaanishi ukioa mke wa pili bas tamaa yako itaisha....sabab wanawake warembo hawaishi,kama swala ni tamaa bas tukubaliane kwamba utaendelea kuoa tuu to infinite...

Mfalme suleiman alikuwa na wake wengi sana na akajaaliwa busara na mali nyingi. lkn mwisho alisema yooote ni upuuzi na ni sawa na kujilisha upepo.maana yake ni kuwa walio ama wanaotaka kuwa na wake wengi ni wapuuzi na wanajilisha upepo.hyo ni kutoka kwa mwenye hekima kuliko wote.SULEMANI
 
Mfalme suleiman alikuwa na wake wengi sana na akajaaliwa busara na mali nyingi. lkn mwisho alisema yooote ni upuuzi na ni sawa na kujilisha upepo.maana yake ni kuwa walio ama wanaotaka kuwa na wake wengi ni wapuuzi na wanajilisha upepo.hyo ni kutoka kwa mwenye hekima kuliko wote.SULEMANI

ndo maana nkasema bado sijaona sababu za msingi za kuoa wake wawili...
 
Back
Top Bottom