Madame S
JF-Expert Member
- Mar 4, 2015
- 17,177
- 34,444
Mambo ya kuoa wake wengi ni mambo ya kizamani, kwa sasa hayawezekani. Zamani watu walifanya hivyo katika mazingira ya kijijini, mwanamke hata kama hatoshelezwi na Mume wake hana alternative kwa sababu wakati ule hapakuwa na Guest, ukigeuka ni vichaka tu.
Lakini kwa sasa kuna sehemu nyingi za Faragha, mwanamke akiona mume wake kaenda kwa mke wa pili, na yeye anaweza kwenda Guest faster akapewa dozi. Kwa ujumla, Msichana msomi na anaejitambua hawezi kukubali kuwa na Mume chovya chovya, hawezi kukubali ndizi yake iingie kwenye mdomo wa kila mtu
Nimerefer kwa dini ndugu yangu mathna wathalatha