Unawezaje kumsamehe aliyekukosea?

Unawezaje kumsamehe aliyekukosea?

Ila mimi mkuu sijui binadamu wa namna gani huwa situnzii kitu. Ukinikosea kesho yameshaisha nakuona mpya
Inategemea mkuu,ila kwa watu wapole na wakimya ni ngumu sana inahitaji neema ya Mungu binafsi uchungu ukizidi huwa nawaombea tu atleast napata nafuu na Mungu alivyo wa ajabu the more unachukia kiumbe chake the more anazidi kumbariki,hahaha,ila ukitaka Mungu amfundishe adabu mtesi wako nimegundua ni kumsamehe na kumtakia kila lenye kheri apo ndipo Mungu atamdescpline....but all in all kisasi ki juu ya Mungu na Mungu ni wetu sote hanaga upendeleo We all matter to Him
 
Kumsamehe Mtu ni muhimu sana kwa ajili ya afya ya roho, akili Na mwili wako. Kwa sababu usipomsamehe anaishi bila kodi akilini, Na rohoni mwako huku akiathiri mwili wako.

Kama ni Mtu wa imani, inasisitizwa kusamehe ili nawe usamehewe. Lakini pia, kujiambia ama kumuambia aliekukosea kuwa umemsamehe inakupa relief kubwa sana.

Japokuwa naamini kuwa kumsamehe Mtu haimaanishi ndio muendelee kuwa marafiki ama Na mahusiano yaliyokuwepo mwanzo. Chukua somo ulilojifunza Na usonge mbele.
 
Inategemea mkuu,ila kwa watu wapole na wakimya ni ngumu sana inahitaji neema ya Mungu binafsi uchungu ukizidi huwa nawaombea tu atleast napata nafuu na Mungu alivyo wa ajabu the more unachukia kiumbe chake the more anazidi kumbariki,hahaha,ila ukitaka Mungu amfundishe adabu mtesi wako nimegundua ni kumsamehe na kumtakia kila lenye kheri apo ndipo Mungu atamdescpline....but all in all kisasi ki juu ya Mungu na Mungu ni wetu sote hanaga upendeleo We all matter to Him
Exactly, unayosema ni sahihi. Ila nadhani mioyo yetu imeumbwa tofauti.
 
Hakuna maisha mazuri katika ulimwengu huu kama maisha ya kuwa mtu wa kutoa msamaha kwa wanaokuudhi. Utakuwa na furaha na amani nafsini mwako bila kujali uliyemsamehe kakuchukuliaje we fanya nafasi yako ya kusamehe kama Mungu anavyotusamehe.

Tumia muda mwingi kufikiria mambo yanayokupatia amani na furaha moyoni, fikiria marafiki wanaokupenda, ndugu wanaokupenda. Unapompoteza mtu asiyetaka suluhu mwenyewe muombee kisha omba Mungu akupatie mtu mwingine atakayeongeza furaha ya moyo wako.

Jua kila binadamu ana mapungufu hivyo yeyote anaweza kukukosea kwa lolote ana vyovyote vile, hivyo usijiweke katika kuangalia anayokukosea bali angalia saana anapokufurahisha na kupuuza/kusamehe yasiyokufurahisha.

Kwa kufanya hivyo utajikuta unaishi maisha rahisi na ya amani. Kamwe usiiambie akili yako kuwa wewe ni mgumu kusamehe, hakika utakuwa hivyo badala yake iambie akili yako kuwa wewe ni mtu wa amani na hakika utakuwa na amani.
 
Kama umeshindwa kusamehe, wala usijali. Mda ni kitu kizuri, utasahau na kusamehe kadri mda unavyoenda. Huwezi kuweka roho ya kwa nini maisha yako yote.

Nani huyo unashindwa kumsamehe, ni baba kijacho? Kama ametubu makosa yake mpe nafasi, kama Mungu anatupatia nafasi mara zote tunapomkosea, iweje wewe ushindwe kumpa mwenzako nafasi?
 
Kama umeshindwa kusamehe, wala usijali. Mda ni kitu kizuri, utasahau na kusamehe kadri mda unavyoenda. Huwezi kuweka roho ya kwa nini maisha yako yote.

Nani huyo unashindwa kumsamehe, ni baba kijacho? Kama ametubu makosa yake mpe nafasi, kama Mungu anatupatia nafasi mara zote tunapomkosea, iweje wewe ushindwe kumpa mwenzako nafasi?
Sio huyo mtu,ni mwingine tu.
 
Hello JF,

Katika maisha kila binadamu hukosea na aombapo huweza kusamehewa au kutokusamehewa, kwa wale mnaosamehe mnawezaje kufanya hivyo?

Sababu mimi mtu akinikosea kitu ambacho kikanitoa chozi basi huwa sisamehi yani huwa nashindwa kabisa kumsamehe, hata aombe msamaha vipi sisamehi then namchukia sana.

Mnaosamehe mnawezaje jamani kuwasamehe waliowakosea?
1479387911210.png
 
Huo ni ugonjwa, "obsessive compulsive disorder". Muone mtalaam wa afya ya akili (psychiatrist) utafaidika. The sooner the better!
 
kwanza tatizo lipo kwako mwenyewe jichunguze ht mistake ulizofanya ww mwenywe utakuta hujajisamehe..na ni kweli kumbuka vzr utaelewa kwamba uwaga unajuta mistakes zako mwenyewe za miaka ya nyuma huko...ht mimi nipo hivo ila nilijifunza kua na uwezo wa kucontrol emotions nakujisamehe mwenyewe ndo nkaweza samehe watu
 
kwanza tatizo lipo kwako mwenyewe jichunguze ht mistake ulizofanya ww mwenywe utakuta hujajisamehe..na ni kweli kumbuka vzr utaelewa kwamba uwaga unajuta mistakes zako mwenyewe za miaka ya nyuma huko...ht mimi nipo hivo ila nilijifunza kua na uwezo wa kucontrol emotions nakujisamehe mwenyewe ndo nkaweza samehe watu
Mmmmh!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom