Unawezaje kumsamehe aliyekukosea?

Unawezaje kumsamehe aliyekukosea?

Kwa mfano kama kidume kakupa mimba halafu kakukataa, bhasi unamchukulia kawaida tu ili usilee mimba kwa hasira hata ukamuathiri mtoto aliyetumboni mwako, unakiri mbele za Bwana kuwa umemuachilia kosa lake bila kumlipa lolote baya, endelea na maisha yako, ukijifungua lea mtoto kwa upendo na siyo kumwambia maneno ya chuki/mabaya aliyokufanyia baba yake.
Siwezi fanya hivo kwa kiumbe kisicho na hatia mtoto anahitaji upendo tuu ni wangu Mungu kanipa no matter what siwezi mtamkia maneno mabaya sababu hiyo ni upon his dady yeye hayamuhusu na hapaswi kuyajua.
 
Hapo umeua uhusiano so ni aina fulani ya adhabu utakua umetoa yaani hukuclear someone's guilty bali uliamua kumkatilia mbali mkosaji na hatia yake
 
Kuna watu hawahitaji msamaha maishan. unajua hayajakufika yalonifika na watu maishan..Msamaha sina, urafiki sina..tukikutana tunaangaliana kama watu kwenye lifti
 
Yalikufika yapi mkuu?
Mkuu duniani kuna watu wasio na roho ya utu..Wakat maisha yangu yapo ukingon dili zimekwama, madeni yamezidi ndo mda
akatia kiburi ilhali before nilikuwa naye kwa hali na mali..Nikaondoka mjini sabab sikuwa na uwezo wa kulipa kodi.Mwaka mmoja baadaye nimerejea Mungu kanijalia hali inarejea shwari..Tumekutana naye maeneo flani aisee hata sikumwongelesha..Na sizani anahitaji msamaha..Unajua ule msemo Karma is a Bitch..Naelezwa na wakuu kitaaa eti yeye pia hali kwake sio shwari..Yote aliyofwata yalimgeuka.
 
Kwangu mimi mtu akinikosea leo kesho nimeshasahau, sinaga muda wa kupoteza kufatilia mambo kama hayo,
 
Hello JF,

Katika maisha kila binadamu hukosea na aombapo huweza kusamehewa au kutokusamehewa, kwa wale mnaosamehe mnawezaje kufanya hivyo?

Sababu mimi mtu akinikosea kitu ambacho kikanitoa chozi basi huwa sisamehi yani huwa nashindwa kabisa kumsamehe, hata aombe msamaha vipi sisamehi then namchukia sana.

Mnaosamehe mnawezaje jamani kuwasamehe waliowakosea?
Kwanza mie hua mtu akinikosea naumia sanaaaa sababu nikimpenda mtu hua sitaki kumkera nataka mda wote awe na raha regardless,sasa akikera jambo kubwa hua naumia sana sababu nimemsabilia moyo wangu na hua sina wasiwasi nae na namuamini sana,la kwanza najichukia kwanini nilimuamini kwanini sione kua ananiendea kinyume,baada ya mda hua nabadili mawazo nasema ivi Ikiwa mwenzi mungu ana samehe mie nae nisimsamehe mtu,namsamehe hata kama hajaniomba msamaha ili niweze kusonga mbele lakini mazowea nae staki kabisaaaaaaaaaaa na hata anapokua yeye
sipendi kuwepo na nta avoid sana sehemu ambazo naweza kumkuta, sasa mkuu sisemi kua rahisi lakini unaweza..
 
Mkuu duniani kuna watu wasio na roho ya utu..Wakat maisha yangu yapo ukingon dili zimekwama, madeni yamezidi ndo mda
akatia kiburi ilhali before nilikuwa naye kwa hali na mali..Nikaondoka mjini sabab sikuwa na uwezo wa kulipa kodi.Mwaka mmoja baadaye nimerejea Mungu kanijalia hali inarejea shwari..Tumekutana naye maeneo flani aisee hata sikumwongelesha..Na sizani anahitaji msamaha..Unajua ule msemo Karma is a Bitch..Naelezwa na wakuu kitaaa eti yeye pia hali kwake sio shwari..Yote aliyofwata yalimgeuka.
Pole sana mkuu kuna watu wana maudhi sana,shukuru mungu kwa kukuinua tena.
 
Mkuu duniani kuna watu wasio na roho ya utu..Wakat maisha yangu yapo ukingon dili zimekwama, madeni yamezidi ndo mda
akatia kiburi ilhali before nilikuwa naye kwa hali na mali..Nikaondoka mjini sabab sikuwa na uwezo wa kulipa kodi.Mwaka mmoja baadaye nimerejea Mungu kanijalia hali inarejea shwari..Tumekutana naye maeneo flani aisee hata sikumwongelesha..Na sizani anahitaji msamaha..Unajua ule msemo Karma is a Bitch..Naelezwa na wakuu kitaaa eti yeye pia hali kwake sio shwari..Yote aliyofwata yalimgeuka.
Pole sana mkuu kuna watu wana maudhi sana,shukuru mungu kwa kukuinua tena.
 
Hivi unaweza kumsamehe mtu ambaye anakusemea mabaya kwa Mabosi? Yan anakusemea, na mnaitwa Kikaangoni? Unaanzaje hapo kwa mfano kumsamehe?
Mm nilikutana na mtu wa sample hyo.si tu kunisema vby alikua anapika majungu ili nifukuzwe kazi.alikua mdada akamshika bosi vzr akili basi bosi alikua anaingia mzimamzima kwakila atakachopika yule mdada wa kikenya. Mm nilichofanya ni kusimama kwenye maombi vzr na hatimaye neema ya Mungu ilikua kubwa kwangu. Nimeshaoatwa majaribio matatu ya kufukuzwa lkn mwishowe aliondolewa yy.

Sikuwahi kumkasirikia wala kugombana na mdada yule kwa maneno hadi baadhi ya staff wenzangu walikua wananimind. Hadi leo akihitaji msaada naweza kumsaidia 100% maadam tu uwe ndani ya uwezo wangu
 
Mm nilikutana na mtu wa sample hyo.si tu kunisema vby alikua anapika majungu ili nifukuzwe kazi.alikua mdada akamshika bosi vzr akili basi bosi alikua anaingia mzimamzima kwakila atakachopika yule mdada wa kikenya. Mm nilichofanya ni kusimama kwenye maombi vzr na hatimaye neema ya Mungu ilikua kubwa kwangu. Nimeshaoatwa majaribio matatu ya kufukuzwa lkn mwishowe aliondolewa yy.

Sikuwahi kumkasirikia wala kugombana na mdada yule kwa maneno hadi baadhi ya staff wenzangu walikua wananimind. Hadi leo akihitaji msaada naweza kumsaidia 100% maadam tu uwe ndani ya uwezo wangu
Ashukuriwe Bwana kwa hilo ila endelea kwa maombi kwani yule adui yuko nyuma yako akiandaa tena mitego ya kukunasa. UTASHINDA.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom