Unawezaje kuishi na mwanamke anayejamba jamba ovyo?

Umetoka kazini umechoka umekaa zako sebuleni anajipitisha na khanga yake inanuka ushuzi unaamua kupiga kimya.

Nipo kitandani naperuzi Jamiiforums yeye amelala amejamba kama mara 4 hivi.

Shida sio kujamba shida anatoa hewa chafu, inakera sana ukiliambia linacheka cheka tu.

Pumbavu, tabia chafu sana hii
Usikute usha mtoa Bikra ya
👌
 
Nipo tayari kumchukua huyo mwanamke anayejambajamba kila wakati.
Napenda sana harufu ya mavi hasa ya mwanamke.
Ikikupendeza tafadhali naomba namba yake PM nikusaidie jambo.
 
Umetoka kazini umechoka umekaa zako sebuleni anajipitisha na khanga yake inanuka ushuzi unaamua kupiga kimya.

Nipo kitandani naperuzi Jamiiforums yeye amelala amejamba kama mara 4 hivi.

Shida sio kujamba shida anatoa hewa chafu, inakera sana ukiliambia linacheka cheka tu.

Pumbavu, tabia chafu sana hii
Kuna kipindi nilikua ninajamba aisee

Nilikua na tatzo la tumbo,, minyoo,ulcers,vyakula vya gesi,vinaweza kua vinamsumbua
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom