David Harvey
JF-Expert Member
- Jul 17, 2014
- 2,678
- 5,219
Umetoka kazini umechoka umekaa zako sebuleni anajipitisha na khanga yake inanuka ushuzi unaamua kupiga kimya.
Nipo kitandani naperuzi Jamiiforums yeye amelala amejamba kama mara 4 hivi.
Shida sio kujamba shida anatoa hewa chafu, inakera sana ukiliambia linacheka cheka tu.
Pumbavu, tabia chafu sana hii
Nipo kitandani naperuzi Jamiiforums yeye amelala amejamba kama mara 4 hivi.
Shida sio kujamba shida anatoa hewa chafu, inakera sana ukiliambia linacheka cheka tu.
Pumbavu, tabia chafu sana hii