Yaani kama saizi mtu ajichanganye yeuwiiii 😀😀😀😀atakua my destiny helper bila kupendaChukulia umekata ringi balaa halafu mtu kajichanganya katuma fedha kwako iwe kwenye akaunti ya Benki au Simu halafu akaomba urudishe, utatuma hiyo hela?
ilikuwa sh. Ngapi mkuuMimi niliwahi kukosea no,pesa ikaenda sehemu nyingine,nika mpigia jamaa akasema nakutumia kesho asubuhi ili nijilizishe,kama hatatokea mwingine wa kunipigia,nikaandika maumivu lakini jamaa alikua mwema sana kweri alinitumia.
Tangu siku hiyo akawa lafiki yangu,badae nika muuliza aliwezaje kuludisha? Akasema asingeweza kula pesa ambayo sio jasho lake pia labda pesa ilikua inaenda kwa mgonjwa ili akapate matibabu,jamaa anaishi ukerewe Mungu ampe maisha malefu.
Ilikua nyingi boss siwezi kuitaja hapa.ilikuwa sh. Ngapi mkuu
Pole sanaHii hali imewahi kunitokea mara 3 na zote nimepigwa ! Mara ya kwanza alipokea kijana nikamfahamisha nimekosea nimetuma pesa kimakosa , akanijibu ngoja aangalie, baadaye nilipompigia akanijibu ni kweli ila ameitoa na kaitumia akipata atanirudishia !! Nikamjibu sawa ila isimuumize kichwa akiona ni haki yangu anirudishie lkn akiona ni haki yake sina KINYON
Ulimpa zawadi gani?Mimi niliwahi kukosea no,pesa ikaenda sehemu nyingine,nika mpigia jamaa akasema nakutumia kesho asubuhi ili nijilizishe,kama hatatokea mwingine wa kunipigia,nikaandika maumivu lakini jamaa alikua mwema sana kweri alinitumia.
Tangu siku hiyo akawa lafiki yangu,badae nika muuliza aliwezaje kuludisha? Akasema asingeweza kula pesa ambayo sio jasho lake pia labda pesa ilikua inaenda kwa mgonjwa ili akapate matibabu,jamaa anaishi ukerewe Mungu ampe maisha malefu.
Sio Kwa mwezi huu kwakweli Itabidi tu tuseme shetani amenipitiaChukulia umekata ringi balaa halafu mtu kajichanganya katuma fedha kwako iwe kwenye akaunti ya Benki au Simu halafu akaomba urudishe, utatuma hiyo hela?
R&L,zingatia.Mimi niliwahi kukosea no,pesa ikaenda sehemu nyingine,nika mpigia jamaa akasema nakutumia kesho asubuhi ili nijilizishe,kama hatatokea mwingine wa kunipigia,nikaandika maumivu lakini jamaa alikua mwema sana kweri alinitumia.
Tangu siku hiyo akawa lafiki yangu,badae nika muuliza aliwezaje kuludisha? Akasema asingeweza kula pesa ambayo sio jasho lake pia labda pesa ilikua inaenda kwa mgonjwa ili akapate matibabu,jamaa anaishi ukerewe Mungu ampe maisha malefu.