Unaweza kunipenda bila kuniona?.....

Unaweza kunipenda bila kuniona?.....

Unajua kwa mfano ukienda kukutana na watu wapya, kwa mfano kwenye seminar, wakati wa break utapenda kustorisha na mtu aliyekuvutia, na kuvutia inaweza kuwa kwa kumtamani... then hapo ni rahisi mkajenga network na baadae ukampenda...

Yap hiyo inawezekana sana, Ila kwa wengine kwenye seminar hizo hizo hupenda kujenga mahusiano/urafiki kwa kuvutiwa na watu wenye uwezo mzuri either kuchanganua mambo, au uelewa wa mambo fulani fulani au namna wanavyoweza kusolve matatizo complex kwa kutumia akili azidi badala ya nguvu. Hapo sasa, kumtamani huja baadaye kabisa kama amekidhi vigezo vingine (i.e yuko single nk).
Ila kila mtu ana mtazamo wake juu ya hili na mtazamo wako pia naukubali.
 
Na mimi ndio nimeshindwa kushangaa..kumbe akili ya kupenda inapishana kati ya 'ke' na 'me'.....nimejua leo hii kitu...lolz


ambacho sikielewi kuhus akili ya kiumbe anaitwa mwanamke!
sisi ni watu tunanusa sana akili za watu halafu ni watu tunaojidanganya sana na akili za watu!
kuna study inabidi ifanyike hapa!
rejea uzi wa Mtambuzi kuhusu wanawake na telepathy kisha fananisha katika uhalisia wanawake wanavolia kuumizwa katika jamii sio mapenzini tu!wanawake ndo wanaongozwa kutapeliwa,wanawake ndo wanaongozwa kuamini wasioaminika!ah sijui imekaaje hii!
so kusema kuwa kwa wanawake sauti tu yatosha inaweza ikawa ni kweli though huwa tunajua wazi hii yaweza isiwe halisi!aha mi wakati mwingine haiba ya akili ya kike siielewi!
 
It depends kaka SnowBall some people fall for so simple reason kama hizo just kwa kuona avatar,wengine kwa jinsi unavyonukia tu baaas lakini wengine mpaka several language zitumike ndo apende mi nikiwa mmojawapo meanwhile avatar yako nzuri haijitoshelezi kabisa kugusa hisia zangu

Note:Those come easly,go easly basi naamini kwa kupenda huko kirahisirahisi kwa kuona tu avatar hata kuachana inakua rahisi hivohivo
 
Last edited by a moderator:
Toria asante kwa mchango wako...kitu nilichopenda ni hapo nilipobold...kumbe easy come easy go...lolz....lakini kama aliovsema Kaunga hata sisi wawekaji avatar huwa tumetega pia..so, ikinasa inakuwa imeangukia mulemule....

It depends kaka SnowBall some people fall for so simple reason kama hizo just kwa kuona avatar,wengine kwa jinsi unavyonukia tu baaas lakini wengine mpaka several language zitumike ndo apende mi nikiwa mmojawapo meanwhile avatar yako nzuri haijitoshelezi kabisa kugusa hisia zangu

Note:Those come easly,go easly basi naamini kwa kupenda huko kirahisirahisi kwa kuona tu avatar hata kuachana inakua rahisi hivohivo
 
Last edited by a moderator:
Hahahahahahahaha
hili ndilo tatizo la kupenda avatar

Nimecheka jamani hapa Duh!
Mtu kaweka Avatar bomba, siku ya kukutana nae, ni kumkimbia mpaka Thread zake hutochangia tena.
 
Yap hiyo inawezekana sana, Ila kwa wengine kwenye seminar hizo hizo hupenda kujenga mahusiano/urafiki kwa kuvutiwa na watu wenye uwezo mzuri either kuchanganua mambo, au uelewa wa mambo fulani fulani au namna wanavyoweza kusolve matatizo complex kwa kutumia akili azidi badala ya nguvu. Hapo sasa, kumtamani huja baadaye kabisa kama amekidhi vigezo vingine (i.e yuko single nk).
Ila kila mtu ana mtazamo wake juu ya hili na mtazamo wako pia naukubali.

Ni kweli mkuu... But fikiria mazingira ambayo pengine hakuna 'appropriate' aliyepata chance ya kupresent au kuongea. Hapo bado 'wazuri' wanakuwa kwenye advantage ya kupata social attention...
 
Hahaha we Tuko acha hzo.
Haya avatar kama yangu, utai define vp!
Just a cartoon.

Usidhani kama nimeisahau ile ya wakati ule kabla ya hiki kikatuni... so mi nakujaji kutokana na ileeeeeeeee....
 
Mwl snowhite hicho kitanda ulicho kiweka kimemaanisha nini?

mfano mi nilianza kumpenda gfsonwin siku nyingi sana!
post zake mie hoi! Kongosho na King'asti hawa wananikalisha chini kwa cmments zao najikuta tu nawapenda bureee! The Boss na akili yake inaymtosha mwenyewe ahahahahhaha
basi mradi hii mada ni booonge la mada mtambuka
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Tuko itakuwa sio adabu mzee...mjibu tu bro...
Akiniuliza mie na mimi ntamjibu...with due respects...

Naomba ujibu kwa niaba mkuu
 
Last edited by a moderator:
Hakika hawawezi kusema hapa hila nimekwambia kuwa wengi wao wanaishia kushangaana na kukata tamaa baada yakuona wasichokitegemea!

Itakuwa poa sana watu waliokwisha kumbwa na masakata ya kupenda avatar wakafungua kwenye uzi huu...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom