Jerrymsigwa
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 14,074
- 8,330
Mie natumia NOKLA ile ya line tatu vipi mie na wenzangu tupo wapi?
Nokla au nokia? Duh
Mie natumia NOKLA ile ya line tatu vipi mie na wenzangu tupo wapi?
UNAWEZA KUJUA TABIA YA MTU KWA KUANGALIA ANATUMIA SIMU YA AINA GANI.
1. Blackberry= anapenda sifa
2. Sony =yupo yupo tu
3. Apple iPhone = mtulivu (classic)
4.Nokia=yupo bize na Mishe zake
5. LG = mzinguzi, anaboa
6. Samsung = All about style
7. Motorola = Ana ushamba flani
8. HTC = Ana mambo ya kitoto
9. ZTE = haeleweki
10.Huawei = mtu mzuri kuwa nae
11 Techno = wanaigiza maisha
we upo wapi?
UNAWEZA KUJUA TABIA YA MTU KWA KUANGALIA ANATUMIA SIMU YA AINA GANI.
1. Blackberry= anapenda sifa
2. Sony =yupo yupo tu
3. Apple iPhone = mtulivu (classic)
4.Nokia=yupo bize na Mishe zake
5. LG = mzinguzi, anaboa
6. Samsung = All about style
7. Motorola = Ana ushamba flani
8. HTC = Ana mambo ya kitoto
9. ZTE = haeleweki
10.Huawei = mtu mzuri kuwa nae
11 Techno = wanaigiza maisha
we upo wapi?
UNAWEZA KUJUA TABIA YA MTU KWA KUANGALIA ANATUMIA SIMU YA AINA GANI.
1. Blackberry= anapenda sifa
2. Sony =yupo yupo tu
3. Apple iPhone = mtulivu (classic)
4.Nokia=yupo bize na Mishe zake
5. LG = mzinguzi, anaboa
6. Samsung = All about style
7. Motorola = Ana ushamba flani
8. HTC = Ana mambo ya kitoto
9. ZTE = haeleweki
10.Huawei = mtu mzuri kuwa nae
11 Techno = wanaigiza maisha
we upo wapi?
Hizo sifa zina apply wapi?
Nokia C3 na Nokia 2960