Hornet
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 26,845
- 52,254
si ndiyo vizuri !Hornet,
Wanaume wamekufanyaje tena?
Huoni kama wasagaji wangekuwa wengi?
si ndiyo vizuri !Hornet,
Wanaume wamekufanyaje tena?
Huoni kama wasagaji wangekuwa wengi?
Nitakwambia badae au kesho.Kwani kuna kitu unataka kuniambia?
Ahahahahahaha
Nitakwambia badae au kesho.Kwani kuna kitu unataka kuniambia?
Yaan ndio ccm mbele kwa mbeleMawazo yangu yapo pale kagera... Nawaza hapa mimi ndo naamka na kila kitu mteremko bila shida... Sasa wenzetu kule wanalala nje, chakula cha shida, bado wanaambiwa wasidhani maafa yameletwa na serikali... Sijui ningekua Mimi ninge jisikiaje?
Hospital nako huko kuna wenzetu wanapigania kurudi Ktk hali ya kawaida huku hakuna matumaini.. Duuh... Mawazo kibao
Hehehehe looo kwa hiyo bado upo nao tuUsinicheke..... I was blinded by love, good looking, smartness, hard working, good moments we had, kuonesha akili yake ipo tofauti na ya wanawake wengine nk........ Lkn huko mbeleni nilichenjiwa hatari, mpaka nikaona dunia chungu,,,,, nikampigia simu kumuomba jamaa aje amchukue demu wake ila bahati mbaya jamaa akawa ashaoa zake huko. Teh
teh teh teh teh teh pole sana.Nawaza yule jamaa niliyemporaga demu wake bora ningemuachia zigo lake, kwa maana lilikuja kunipa mateso sana huko mbeleni.
Mungu anawaonaYaan ndio ccm mbele kwa mbele
Hehehehe looo kwa hiyo bado upo nao tu
AhsanteKaribu.....
Bahati yako dina nimeku pm wakasema mpaka niwasiliane na jf ungebeba yaliyomoyamoNjoo pm niambie