mizarb
JF-Expert Member
- Feb 15, 2013
- 1,402
- 1,290
Usijali anza kuwa na furaha sasaNifanyie basi nifurah
Usijali anza kuwa na furaha sasaNifanyie basi nifurah
Sawa mkuu ya kweli hayo usemayo..hakikisha ukupata wazo la kifulsa hata kaka ako usimwambie maana ukimwambia utakuta kesho anaifanya...mm yalinikuta ndgu!
Wala sina mawazo yoyote kwanza naweza nikampenda mwanamke kabla sijamwambia npotezea na simwambii tena na hapo hapo namchukia hadi nakuwa na hasiraBasi utakua na msongo wa mawazo,
Tatizo hua nakuwa mkweli sana na uaminifu sasa ila nyie wanawake ni waongo sana ndo maana nimeamua kuwapotezea yaani nimeamua nifanye mambo yangu kwanza!!Acha ubinafsi,jitoe
Hornet,nawaza tu wanaume wangetengewa dunia yao na siye tubaki wenyewe... tusionane kabisa.
Ungekuwepo ningekwambia uko mbali na usowanguAcha ubinafsi,jitoe
Mimi au?Njoo pm niambie
Nikajua umeniambia MimiHahahaha jamani ni mijikamimi