Unawaza nini sasa hivi?

Unawaza nini sasa hivi?

Mm saiz nawaza tu ni jinsi gani mwenyezi mungu alivo mkarimu.. Kila cku tunamuudhi kwa namna moja ama nyingine ila ukitubu na kumuomba msamaha, anakusamehe kiroho safi.
Asipokuwepo je?
 
Nawazaaa....natamani ningekuwa on beautiful vacation right now,somewhere in Ibiza...au Hawaii.Just Chillin' and havin' soo much fun ... enjoying every second of the pleasure.
Safi kabisa sio kila siku kuwaza mengine tu
 
Nawaza siku nikihukumiwa kwa cyber crime dhamana na 7M itapatikana je?
 
Hapo ulipo unafikiria nini au unamfikiria nani?unawaza kufanya nini,?ungependa kusikia nini moyo wako usuuzike ,ufurahi!!
Mim ningependa niwe sehemu nzuri na mtu ninaempenda ,sehemu iliyotulia anishike mkono tutembee wote ,anikiss kiss yaan nione dunia yangu ,anishike kiuno ,anibebe anione kama malkia
Unajua kuna watu ukikutana nao hujuti au ukiwa nao hujuti kabisa anakupa raha mwanzo mwisho,lakin kuna mwingine unaweza ujute hata kwanini umeonana nae ama nene
Basi mi nafikiria vitu vizuri vizuri tu au ningekua sehemu nakula bata na samsun Complex shunie ICHANA Nyani Ngabu na wengineo wengiii hata wale wapekuzi au mapaparazi wa kujitegemea ningependa muwepo tu ili mtupige picha hivi na kutuwekea kumbukumbu au sio
Basi tu ndio navyofikiria hivii acha nilale tu mie
View attachment 402191 ujumbe wa usiku huu
Yaani kwa huu uzi wako inaonyesha akili na mawazo yako kuwa unapenda sana kugegedwa
 
Yesu wangu!! wee noma mi nawaza nitampata wapi wa kuanza nae maisha!!wee unawaza wa kukugegeda!!!duu!!haya bhana !!
Huyo wa kuanza nae maisha mtakua hamgegedani au,?sasa mi niwaze wa kuanza nae maisha wa nini?
 
Nawaza kama ungejua mimi ndo naweza kukufanyia hayo yote uwazayo basi hayo uliyoyawaza ungekuwa ushayapata tayari.
 
Huyo wa kuanza nae maisha mtakua hamgegedani au,?sasa mi niwaze wa kuanza nae maisha wa nini?
Huwezi amini sina mpaka sasa wa kugegedana nae najua hapa hutoamini!! Na kama huwezi amani kaa hivyo hivyo usiamini!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom