wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 26,494
- 29,278
Mmm mbona mi siwezi sijazoeaNawe uwe muongo ufate hali inavyokuwa haya maisha bila unafiki hayaendi
Mmm mbona mi siwezi sijazoeaNawe uwe muongo ufate hali inavyokuwa haya maisha bila unafiki hayaendi
Pole sana MkuuHapa nilipo kichwa kimejaa madufu Baba anaumwa sna, anatakiwa aende hospital. Sina ela ya matibabu family nayo ndo vile mkubwa ni mm.
Heshima kwako mkuuhakikisha ukupata wazo la kifulsa hata kaka ako usimwambie maana ukimwambia utakuta kesho anaifanya...mm yalinikuta ndgu!
mhhhh y thinking of me that my honey, kuna mchepuko kashaingia nina wasiwasi. Nambie tu kama ndo umeamua hivyo cause siwez lazimisha penzi.
Mi nakupenda kwa dhati/ usinione kama vile mimi nachezaa/mhhhh y thinking of me that my honey, kuna mchepuko kashaingia nina wasiwasi. Nambie tu kama ndo umeamua hivyo cause siwez lazimisha penzi.
hihihihiiiiiii
huhuhuhuhuuuuuu i love you more bbyMi nakupenda kwa dhati/ usinione kama vile mimi nachezaa/
Kwako mepata bakhati wala sintoichezea (sitoichezeaa)
Penzi lako siliwachi naliweka moyoni lisijepotea / nawala sitoi chance mwenginewe kuchukuaaa
.
wewe ndio unanifanya niwe nang'aa/ kila kona ya mtaa tukipita
Nikumbatie huku ukisema/ I love you baby sikwachi
our love is sweet eer day baehuhuhuhuhuuuuuu i love you more bby
very and you can say it againour love is sweet eer day bae
Twenzetu paradise hapa watu wanakodoa Kodo..!! Hahahahvery and you can say it again
ok okTwenzetu paradise hapa watu wanakodoa Kodo..!! Hahahah
Ngoja nijifariji ila mpaka hamu ya Kuduuuu huwa inaniishaa hapa,,Nawaza nitakuwa full kula kwa macho tuTaratibu utamaliza tu
Na mume umuwaze ndiyo mimiNawaza hapa nipate mume anayenipenda nami nimnyenyekee, tukikaa anaangalia fursa tunafanya biashara tunapata hela uzeeni ndo tustarehe