superfisadi
JF-Expert Member
- May 22, 2009
- 553
- 52
nilikuwa na shosti mrangi maji ya kuoga anachanganya dawa , lotion , powder zote anatia mivuto mwisho anatoka na kijiti anatafuna na kila miezi 3 lzm aendelee kondoa au mtaalam aje , ila mibaba alikuwa anaichuna tatizo hakuwa akipata vijana na upstairs mweupe