Unawafahamu warangi?

nilikuwa na shosti mrangi maji ya kuoga anachanganya dawa , lotion , powder zote anatia mivuto mwisho anatoka na kijiti anatafuna na kila miezi 3 lzm aendelee kondoa au mtaalam aje , ila mibaba alikuwa anaichuna tatizo hakuwa akipata vijana na upstairs mweupe
 
Kumbe mumwari banyunyu kunu nyumbi?twireke na ava vyakokoyo,vyasina cholusika tu mana susu twaboha sana ha ni wivu vokona no maana vakalire!na uhu kuva ari ni mutavana vii alusikyre na akasitwa!

Makumbo ae mwanitu. Da Valangi ni magrit thinka ae munduu wane. Che mwohona uko menyu wee.
 
dah mnanikumbusha khadija wangu jamani, mtoto wa kirangi she was so cute lkn miguu tu alikosa hilo nathibitisha, huyu mtoto ndo nilopojifunzia style zote tulikuwa bila bao nne hatujatoka room, upo wapi khadija. Nakumbuka mapenzi yalituzidi mpaka ilifika kipindi tunajifungia gesti toka saa nne asubuhi mpaka kumi na mbili jioni, khadijaa mtoto wa kondoa ilikuwa arusha hiyo wadau, nakumbuka my bro alisafiri km wiki hivi khadija alikuwa anaishi na dada'ke pale mitaa ya shamsi kwa vile ilikuwa jirani na home basi usiku alikuwa anatoroka. Eti anafunga uzi wa kushonea kwenye mguu wake halafu anautolea dirishani basi mie ikifika saa nne usiku naenda dirishani nauvuta ule uzi anashtuka tunasepa kuibanjua amri ya sita. Dah khadijaa mtoto wa kirangi maskini walimkeketa lkn kwa uwezo wangu niliweza kumfikishaa kileleni. Warangi wazuri bana lkn pale arusha hawana sifa nzuri.
ah ha aha aha aha chimunguru weweeeeeee
 
Ninakubaliana na wewe, hata mimi ninatafuta binti wa kirangi, nimweke ndani, haijalishi anipumpaze, anifilisi, la muhimu nimpate wa kinisitiri. Mwanamke ni uzuri na mchezo.
 
Ninakubaliana na wewe, hata mimi ninatafuta binti wa kirangi, nimweke ndani, haijalishi anipumpaze, anifilisi, la muhimu nimpate wa kinisitiri. Mwanamke ni uzuri na mchezo.

Unatakiwa uwe mvumilivu, Nilishampiga chini Shamsia wangu ingawa alikuwa cute, aliniomba kwnda kwao kwa wiki moja akakaa miezi miwili na akawa hapatikani kwenye simu wala wala ndugu zake hawakujua alipo. nilishindwa kumfuata kwa sababu ya kazi. aliporudi aliishia mlangoni hakukanyaga ndani kwangu.
 
Nimemkumbuka sana Bosi wangu akiwa waziri na Bro wangu wakati nipo Tanzania. Anbaye pia aliwahi kuwa balozi kule USA , Sheikh wangu Mustafa Nyanganyi.

Hakika huyu ni mtu wa Kondoa na ni mtu barabara sana.
 
Duh....! Kweli wewe mchambuzi.....!


Umenyumbulisha vizuri sana..... Nami nilipata kuwaonja warangi wa Kondoa.....! Kwa kweli ni balaa......! Mara nyingi unaishia kutotaka kumuoa, lakini kumuacha inakuwa ngumu kutokana na hali halisi......! nadhani wajua....!
kwani wana utamu gani hawa warangi?
 
Warangi nimewasikia sana ila ktk kuishi kona zote nimewahi kumuona dada mmoja tu wa kirangi alikua bar maid kaza roho bar miaka mingi wakati mfojo yupo pale.
Sijakutana nao pengine,si mtaani,shuleni wala kazini,au wachache sana mjini.
 
poti umeenda mbali. hizo ni fikra finyu za kibongo; huwezi ku generalize na kusema hivyo kwani utakuwa umeendeleza haya;
  • wapare wote ni baili
  • wahaya kwa mambo hawashikiki
  • wanawake wa tanga usijaribu
  • wagogo omba omba
  • wahehe wala mbwa
  • wahehe kwa hasira...
  • wakinga wana roho mbaya
  • wasandawe waaminifu
  • ongezea...
Wachaga wezi the teh
 
Ndio wale ambao kule Arusha wanawaita barabara ya Vumbi kama sikosei..............................
 
Umbumbu wa Generalize watu. Miguu ya Warangi na Wachaga wangapi inafanana? wewe yako baba na mama yako iko kama ya watu gani?Acha hizo huwajui Warangi wala Wachaga.
 
Pole mwanawito nonoyona ihi isiku kano hai yajayivisa ahu,kunu ni kuuja vii!joli noko menyu?
vanduu vane naviendrie, kuna group page ya warangi facebook ambapo humo tunajadili mambo mbalimbali kwa kirangi na group lenyewe linaitwa "tuluusike kilaangi" kama utaipenda ni pm nikuuangnishe.
 
Pole mwanawito nonoyona ihi isiku kano hai yajayivisa ahu,kunu ni kuuja vii!joli noko menyu?
vanduu vane naviendrie, kuna group page ya warangi facebook ambapo humo tunajadili mambo mbalimbali kwa kirangi na group lenyewe linaitwa "tuluusike kilaangi" kama utaipenda ni pm nikuuangnishe.
 
Oya niaje nyinyi ma'great thinker mnazalilisha makabila ya watu, yani mnataka kunyambia nyie kwa warangi mmeona hayo ya ngono tu.
 
Ndio nawafahamu. Wadhulumati, wabinafsi, wanawake wao malaya na wanatumia ndumba kwenye ndoa zao.
Haya yote wameshakufanyia hao warangi? Je ulishaoa mwanamke wa kirangi akakufanyia ndumba? Mbona sifa zote ulizotaja hapa nasikia na kabila lako linazo?
 
Back
Top Bottom