Unawafahamu warangi?

Unawafahamu warangi?

naona moto wa kushambulia makabila umeanza hapa jf...keep it up dudes
 
aka majala.... ukatu'ula ai' vamaka vasina maana ai

kutunga nchedi kintu che? wavire mukokoyo ai'

Mmaka, kimaare kabisa ava vantu vasina maana tunku. Vakosire cho lusika, ava ni vakokoyo. Majala kalama no sambula vasinga vya vantu, tula ulole kani ukare, kani walola utule na mwiwako mrere wasinga.

Haya ukavalumbya vosi kayii, na nkuku, na ngo'mbe na mburi janyu josi na majirani aho jii.
 
Msandawe Halisi,

Wasalimie warangi wotee huko kondoa ..........baadaye nitapita maeneo karibia na kiwanda cha saruji Wazo Hill hapa jijini , kwa ajili ya kuwapa salamu ndugu zao waliopo hapo maana hata sehemu yenyewe imepewa jina la kirangi nikifika nitaku PM.Na wakati nareje sitosita kusimama pale KAWE wazee wa kirangi.......................Nikifanikiwa kupata namba ya MISANYA BINGI nitamjulisha pia naye atume salamu.
 
Mmaka, kimaare kabisa ava vantu vasina maana tunku. Vakosire cho lusika, ava ni vakokoyo. Majala kalama no sambula vasinga vya vantu, tula ulole kani ukare, kani walola utule na mwiwako mrere wasinga.

Haya ukavalumbya vosi kayii, na nkuku, na ngo'mbe na mburi janyu josi na majirani aho jii.


vamaka kumbaare mumware huu?, nikimare kabisa haya mamaka ni kuyareka vii! mukokoyo wache kumutubirra! vasina ramana tuku saa jingi,
vosumbula sana vahinja va kirangi, koo vasitirwe vakareta masimu yavo yasina mana tuku, kuboha twaboha kweri na tokiheshimu lakini mamaka kira siku yamware kutubirira, kwakweri vahinja va kirangi vopata shida sana uko maofisi!


jamani msituandame uzuri, ukarimu na tabia njema ni asili yetu, tatizo ukicheka na ukiwasaidia watu wanahisi unawataka au unagawa sio kila unayecheka naye unamgawia! na nyie wanaume mmezidi usumbufu na inaonekana nyie mnaowakandia na kujifanya mmewapitia mmenyimwa mnajipa moyo kwa kuosha vinywa!
na huyo aliyesema kuwa wengi hatujasoma na tunaishia kuwa ma-hsgirl chuki binafsi! mie binti wa kurangi Binti MAJUVA, nimesoma, najiheshimu na wala sidanganyiki ingawa maofisini kutwa tunasumbuliwa uzuri sijaomba nimepewa, na sio sababu ya kuutumia vibaya! imani yangu kwa mungu ndio msingi wa maisha mema!
 
haya endeleeeni mnatavyotaka, sisi wenye kabila letu tunawaangalia tu. mmeshasahau kuwa kondoa ni mji wa kihistoria sio, nyie mwazungumzia ngono tu kudadadeki, mbongo bwana akiamka asubuhi anashika sehemu nyeti, wakati wenzetu weupe wanashika kichwa, kazi kwenu.
 
mnajua mimi warangi nawapenda sana. nitajitahidi nimuowe mrangi kwa njia yoyote ile...piga ua garagaza...mimi ni sura ya kiume, nikia mwenye sura kama yangu itakula kwangu pale ntakapozaa mabinti wanaofanana na mimi... hata nikipata ambaye kaishia la saba...poa tu...atasaidia kwenye biashara ndogondogo...sitaki mpinge msimamo wangu tafdhali...labda mniunge mkono tu!!!!
 
MIGUU KAMA STICKS...ila sio kwa wote....ni baadhi tu!!!.kazi kweli kwei
 
Kondoa kuna vitu adimu sana, kama michoro ya mapangoni kule kondoa irangi, jamaa wanapenda sana baiskeli. Wanawake wa kirangi sio wachoyo(.....)
 
wanaroho mbaya ukimuoa tu atakukalia mpk kichwani, na pesa yako ataenda honga wanaume wengine mpk ufirisike
 
Ushindwe na ulegee umeona wachaga ndo wakutolea mifano????/?
 
Je Wahaya Jamani mwenye Sifa aweke hapa na Wapare Tabia zao mi Makonde bana kwetu Ntamba swala kule karibu na Nsumbiji :car:
 
Kuna Muhaya moja, yeye alikuwa bigwa wa kuoa na kuacha pande za mbezi beach, mjanja kweli yaani. Miaka mitano iliyopita, alimuoa mrangi. Sasa hivi Maaviiiii yake, amekuwa mfaalaa mfaaala kabisa. Weekend anafua mpaaka anazeeka. Ujanja kushileee
 
Kwa taharifa yako tu, Hawa ndugu zetu hupendelea zaidi kuandika barua zao kwa kuzianza kwa salamu za kikwao, hata maandishi ya mapambo kwenye vyombo vya usafiri mengi huyaandika kwa lugha yao ya Kirangi kuliko makabila mengine ya Tanzania.


Nipo Kondoa leo, Siku njema wana JF
Je wewe kama ni "msandawe halisi" Warangi watakuwa ni jirani zako.Thread hii ina makusudio gani? Ukinijibu naweza nikapata picha kamili.
 
Kuna Muhaya moja, yeye alikuwa bigwa wa kuoa na kuacha pande za mbezi beach, mjanja kweli yaani. Miaka mitano iliyopita, alimuoa mrangi. Sasa hivi Maaviiiii yake, amekuwa mfaalaa mfaaala kabisa. Weekend anafua mpaaka anazeeka. Ujanja kushileee

kashalishwa unga wa nyoka huyo tehe tehe tehe
 
Kumbe mumwari banyunyu kunu nyumbi?twireke na ava vyakokoyo,vyasina cholusika tu mana susu twaboha sana ha ni wivu vokona no maana vakalire!na uhu kuva ari ni mutavana vii alusikyre na akasitwa!
vamaka kumbaare mumware huu?, nikimare kabisa haya mamaka ni kuyareka vii! mukokoyo wache kumutubirra! vasina ramana tuku saa jingi,
vosumbula sana vahinja va kirangi, koo vasitirwe vakareta masimu yavo yasina mana tuku, kuboha twaboha kweri na tokiheshimu lakini mamaka kira siku yamware kutubirira, kwakweri vahinja va kirangi vopata shida sana uko maofisi![/SIZE][/COLOR]

jamani msituandame uzuri, ukarimu na tabia njema ni asili yetu, tatizo ukicheka na ukiwasaidia watu wanahisi unawataka au unagawa sio kila unayecheka naye unamgawia! na nyie wanaume mmezidi usumbufu na inaonekana nyie mnaowakandia na kujifanya mmewapitia mmenyimwa mnajipa moyo kwa kuosha vinywa!
na huyo aliyesema kuwa wengi hatujasoma na tunaishia kuwa ma-hsgirl chuki binafsi! mie binti wa kurangi Binti MAJUVA, nimesoma, najiheshimu na wala sidanganyiki ingawa maofisini kutwa tunasumbuliwa uzuri sijaomba nimepewa, na sio sababu ya kuutumia vibaya! imani yangu kwa mungu ndio msingi wa maisha mema!
 
Back
Top Bottom