King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,702
- 68,690
Ni kweli,ogopa sana watu wa nyanda za juu kusini.
1.Ukija Ntwara kuna kitu kinaitwa ngende ni nomaaa unakua Legrande mupoa pedeshee mutu ya pakee mingi
2.Kuna kitu kinaitwa Ndele ni nomaa hii diamond kafanya
3.Ukienda iringa(wakinga) utajiri wao ni wa kuua wazazi nenda k/koo utakuta mkinga na yeboyebo na kipensi cha jinsi lakini ana jengo la ghorofa 8 k/koo!
4.Watu wa iringa wanaondoa viungo vya mwilini mwao kwa ajili ya kupata utajiri.
1.Ukija Ntwara kuna kitu kinaitwa ngende ni nomaaa unakua Legrande mupoa pedeshee mutu ya pakee mingi
2.Kuna kitu kinaitwa Ndele ni nomaa hii diamond kafanya
3.Ukienda iringa(wakinga) utajiri wao ni wa kuua wazazi nenda k/koo utakuta mkinga na yeboyebo na kipensi cha jinsi lakini ana jengo la ghorofa 8 k/koo!
4.Watu wa iringa wanaondoa viungo vya mwilini mwao kwa ajili ya kupata utajiri.
Last edited by a moderator: