Unataka Utajiri? Njoo Tunduma haraka!

Ni kweli,ogopa sana watu wa nyanda za juu kusini.
1.Ukija Ntwara kuna kitu kinaitwa ngende ni nomaaa unakua Legrande mupoa pedeshee mutu ya pakee mingi

2.Kuna kitu kinaitwa Ndele ni nomaa hii diamond kafanya

3.Ukienda iringa(wakinga) utajiri wao ni wa kuua wazazi nenda k/koo utakuta mkinga na yeboyebo na kipensi cha jinsi lakini ana jengo la ghorofa 8 k/koo!

4.Watu wa iringa wanaondoa viungo vya mwilini mwao kwa ajili ya kupata utajiri.
 
Last edited by a moderator:
Mtoa mada wewe ni mshirikina na una mapepo! Acha kuwaaminisha watu uongo.
Mimi ninafanya biashara hapa Tunduma, hakuna tajiri asiyejishughulisha hapa, watu tunajituma sana.
Siri ya mafanikio hapa ni biashara hasa za magendo, vipodozi, na bureau de change za kienyeji.
Hakuna anayeweza kuthibitisha huo uchawi wenu.
Wana JF tuwe makini na hizi rumours, tujitume katika kazi ndio msingi wa mafanikio.
 
Tupo Tunduma na tumekula Christmas hapa huku tukisubiri mwaka mpya
Mambo ya Tunduma yanatisha kama sio kushangaza
Tunduma ndio sehemu pekee Tanzania kama sio Africa ambayo vijana wadogo kabisa ni matajiri wa kutisha na wengi wao hawana hata elimu ya darasa la saba
baada ya kufanya utafiti mdogo tu kuhusisha watu kama kumi tumegundua kuina jambo linaloendelea hapa Tunduma na Mbeya ambalo bado halijawekwa wazi
watu wa tunduma hasa vijana wanatumia nguvu za giza au uchawi kupata mali nyingi wanazomiliki,kuna mganga maarufu hapa ambaye anafuga jogoo mkubwa sana mwenye afya ya kutosha
ukitaka utajiri unaenda kwa huyu mganga halafu anabashiri siku zako za kuishi duniani zimebakia ngapi
akishakupa idadi ya siku zako zilizobakia duniani anamleta jogoo wake mwenye afya tele
anarusha mahindi sawasawa na idadi ya miaka yako iliyobakia duniani.jogoo anaruhusiwa kudonoa mahindi yale,
kama miaka yako ya kuishi duniani ilibakia 10,mahindi kumi yanarushiwa jogoo,anadonoa na kula baadhi ya mahindi,akila mahindi matano ina maana utapewa utajiri na utaishi miaka mitano baada ya hapo utakufa
ile miaka mitano iliyobaki utaenda kuwatumikia wakubwa waliokupa huo utajiri,kuna mahimbo ya madini Congo DRC ndiko unakopelekwa
tulipoulizia maisha ya huko machimboni tuliambiwa kule unakunywa maji kila siku huku ukipiga kazi masaa 24
hiyo ndio taarifa ya Tunduma mji uliojaa vijana waliokata tamaa na kuamua kujitoa mhanga
hii taarifa ni ya kweli na tumefanya utafiti wa kutosha

Unakwenda ukishakuwa Tajiri, unaenda kuishi Ulaya au china UCHAWI HAUVUKI BAHARI, kwa hiyo utaishi miaka yako yote
 
Tupo Tunduma na tumekula Christmas hapa huku tukisubiri mwaka mpya
Mambo ya Tunduma yanatisha kama sio kushangaza
Tunduma ndio sehemu pekee Tanzania kama sio Africa ambayo vijana wadogo kabisa ni matajiri wa kutisha na wengi wao hawana hata elimu ya darasa la saba
baada ya kufanya utafiti mdogo tu kuhusisha watu kama kumi tumegundua kuina jambo linaloendelea hapa Tunduma na Mbeya ambalo bado halijawekwa wazi
watu wa tunduma hasa vijana wanatumia nguvu za giza au uchawi kupata mali nyingi wanazomiliki,kuna mganga maarufu hapa ambaye anafuga jogoo mkubwa sana mwenye afya ya kutosha
ukitaka utajiri unaenda kwa huyu mganga halafu anabashiri siku zako za kuishi duniani zimebakia ngapi
akishakupa idadi ya siku zako zilizobakia duniani anamleta jogoo wake mwenye afya tele
anarusha mahindi sawasawa na idadi ya miaka yako iliyobakia duniani.jogoo anaruhusiwa kudonoa mahindi yale,
kama miaka yako ya kuishi duniani ilibakia 10,mahindi kumi yanarushiwa jogoo,anadonoa na kula baadhi ya mahindi,akila mahindi matano ina maana utapewa utajiri na utaishi miaka mitano baada ya hapo utakufa
ile miaka mitano iliyobaki utaenda kuwatumikia wakubwa waliokupa huo utajiri,kuna mahimbo ya madini Congo DRC ndiko unakopelekwa
tulipoulizia maisha ya huko machimboni tuliambiwa kule unakunywa maji kila siku huku ukipiga kazi masaa 24
hiyo ndio taarifa ya Tunduma mji uliojaa vijana waliokata tamaa na kuamua kujitoa mhanga
hii taarifa ni ya kweli na tumefanya utafiti wa kutosha

inawezekana mimi ni mbumbumbu wa kutojua maana halisi ya neno utajiri.
naomba unijuze....utajiri upi uliopo Tunduma? hao wanaoitwa matajiri wana sh-ngapi?
maana baadhi yetu Tunduma (ile ya TZ-Zambia border) twaijua vizuri
 
Binafsi huwa nasikitishwa sana na watu wanaokimbilia utajiri wa haraka,unakuta kijana yupo under 30 lakini anakimbilia
kwa waganga kusaka utajiri wa haraka ilhali fursa zipo nyingi tu isitoshe umri wake unaruhusu so sad !!:A S angry:
 
Yaani wabongo wangekuwa na bidii ya Kufanya kazi kama hivi wanavyo utafuta uchawi mbona tungekuwa mbali!!,
 
hahaha...kaz kwelikweli.huwa naziona kwenye filam za nigeria tu,ni imaginatiön tu nadhani
 
na asipokula hata moja? jamani imani zingine mweeeeeee
Nimewahi kusikika hiyo! Ni balaa! Akila hindi moja je? Inaruhusiwa kukata rufaa kama hukubaliani na idadi ya mahindi yaliyoliwa na jogoo? If yes I could also try, akila chini ya mahindi arobaini nabadili mawazo.

Regards
 
Mtoa mada wewe ni mshirikina na una mapepo! Acha kuwaaminisha watu uongo.
Mimi ninafanya biashara hapa Tunduma, hakuna tajiri asiyejishughulisha hapa, watu tunajituma sana.
Siri ya mafanikio hapa ni biashara hasa za magendo, vipodozi, na bureau de change za kienyeji.
Hakuna anayeweza kuthibitisha huo uchawi wenu.
Wana JF tuwe makini na hizi rumours, tujitume katika kazi ndio msingi wa mafanikio.

Tupo pamoja
 
Ni kweli,ogopa sana watu wa nyanda za juu kusini.
1.Ukija Ntwara kuna kitu kinaitwa ngende ni nomaaa unakua Legrande mupoa pedeshee mutu ya pakee mingi

2.Kuna kitu kinaitwa Ndele ni nomaa hii diamond kafanya

3.Ukienda iringa(wakinga) utajiri wao ni wa kuua wazazi nenda k/koo utakuta mkinga na yeboyebo na kipensi cha jinsi lakini ana jengo la ghorofa 8 k/koo!

4.Watu wa iringa wanaondoa viungo vya mwilini mwao kwa ajili ya kupata utajiri.

Sawa kabisa endelea kuamini wenzio wanasonga mbele wewe ukiwa unabaki nyuma kwa fikra zako za kichawi.
 
Last edited by a moderator:
mkuu jogoo akidonoa mahindi mawili inakuaje sasa?..si unaruhusiwa ku appeal..bt ntakuja mda ambao jogoo najua ana njaa
 
Mbona ninissue common sana Mbeya for the last 2 years sasa watu wanapiga sana izo deal vijana wadogo ila utashangaa kazimika ghafla!
vijana wako frustrated na maisha sana ndo maana kila chance inayokuja ya kutajirika wanajiripua!
 
Tupo Tunduma na tumekula Christmas hapa huku tukisubiri mwaka mpya
Mambo ya Tunduma yanatisha kama sio kushangaza
Tunduma ndio sehemu pekee Tanzania kama sio Africa ambayo vijana wadogo kabisa ni matajiri wa kutisha na wengi wao hawana hata elimu ya darasa la saba
baada ya kufanya utafiti mdogo tu kuhusisha watu kama kumi tumegundua kuina jambo linaloendelea hapa Tunduma na Mbeya ambalo bado halijawekwa wazi
watu wa tunduma hasa vijana wanatumia nguvu za giza au uchawi kupata mali nyingi wanazomiliki,kuna mganga maarufu hapa ambaye anafuga jogoo mkubwa sana mwenye afya ya kutosha
ukitaka utajiri unaenda kwa huyu mganga halafu anabashiri siku zako za kuishi duniani zimebakia ngapi
akishakupa idadi ya siku zako zilizobakia duniani anamleta jogoo wake mwenye afya tele
anarusha mahindi sawasawa na idadi ya miaka yako iliyobakia duniani.jogoo anaruhusiwa kudonoa mahindi yale,
kama miaka yako ya kuishi duniani ilibakia 10,mahindi kumi yanarushiwa jogoo,anadonoa na kula baadhi ya mahindi,akila mahindi matano ina maana utapewa utajiri na utaishi miaka mitano baada ya hapo utakufa
ile miaka mitano iliyobaki utaenda kuwatumikia wakubwa waliokupa huo utajiri,kuna mahimbo ya madini Congo DRC ndiko unakopelekwa
tulipoulizia maisha ya huko machimboni tuliambiwa kule unakunywa maji kila siku huku ukipiga kazi masaa 24
hiyo ndio taarifa ya Tunduma mji uliojaa vijana waliokata tamaa na kuamua kujitoa mhanga
hii taarifa ni ya kweli na tumefanya utafiti wa kutosha




Huu utajiri wa kishirikina wa nini zama za sayansi na teknolojia hizi??? Fight mwenyewe upate kilicho chako na kwa njia halali kabisa.Hizi shortcut hata hazifai kabisa!!!!!!
 
Mimi naomba namba ya huyo dingi nichonge naye aniuzie huyo kwiyo.
 
JAman this thng z serious watu wamekata tamaa, en ts nt Tunduma pekee ts evrywhr
 
Gaijin I was blessed with a chance to live in Mbeya for some two good years, This is a story I have been hearing al along but sikubahatika kufanya uchunguzi wa kina kama mleta mada.

Ninaachoomba mleta mada anieleze alifanya vipi huo uchunguzi? ulienda kwa huyo mganga? ulipewa taarifa na m2 aliyewahi kwenda? Kwani wanatoaga hizo ''siri''?
Mkuu na wewe ''unazungumzia kufanyia utafiti'' mambo yasio na hata chembe ya ukweli? Hizo ni hekaya ambazo kwa mtu aliyesoma shule na akaelimika hazitamsumbua sembuse kuwaza mambo ya utafiti.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom