ChescoMatunda
JF-Expert Member
- Jan 7, 2009
- 1,232
- 443
KAMA UNGEPENDA KUWA DEREVA JIJI LA DSM SOMA KWA MAKINI
1:Uwe mvumilivu sana Usiekata tamaa kusubiri wenzio wakupishe
2:Ujue kusafiri masaa mawili hadi matatu umbali wa km 10 tuu.
3:uwe unatembea na chenji na noti noti za faini kwa trafiki hata kama gari yako mpya
4:Kama unapita mitaa huijui usishangae mzee wa makamo kajigongesha kwa mbele ya gari yako na anataka alipwe hela hapohapo!
5:usiombe upite mitaa ya mdada poa utakoma watakavyokujalia kwenye kioo.
6:jiaandae kudaiwa hela na wahuni kwenye mataa kwa lazima hata kama hujawahi kuwakopa
7:usiombe gari yako izime afu ukute vijana wanakusaidia kuisukuma ukadhani wanahuruma utadaiwa laki kama gharama ya kusukuma utadhani umetolewa na greda
8:Uwe tayari kuchomekewa na daladala popote wakati wowote
9:ukiwa kwenye foleni Biashara Zipo utauziwa kila kitu hata chipsmayai unaweza kukaangiwa
10:Ukiwa na hasira utagombana asubuhi mpaka jioni barabarani. kazi kwako.,
1:Uwe mvumilivu sana Usiekata tamaa kusubiri wenzio wakupishe
2:Ujue kusafiri masaa mawili hadi matatu umbali wa km 10 tuu.
3:uwe unatembea na chenji na noti noti za faini kwa trafiki hata kama gari yako mpya
4:Kama unapita mitaa huijui usishangae mzee wa makamo kajigongesha kwa mbele ya gari yako na anataka alipwe hela hapohapo!
5:usiombe upite mitaa ya mdada poa utakoma watakavyokujalia kwenye kioo.
6:jiaandae kudaiwa hela na wahuni kwenye mataa kwa lazima hata kama hujawahi kuwakopa
7:usiombe gari yako izime afu ukute vijana wanakusaidia kuisukuma ukadhani wanahuruma utadaiwa laki kama gharama ya kusukuma utadhani umetolewa na greda
8:Uwe tayari kuchomekewa na daladala popote wakati wowote
9:ukiwa kwenye foleni Biashara Zipo utauziwa kila kitu hata chipsmayai unaweza kukaangiwa
10:Ukiwa na hasira utagombana asubuhi mpaka jioni barabarani. kazi kwako.,