Unataka kuwa dereva Dsm? Soma hapa

Unataka kuwa dereva Dsm? Soma hapa

ukitaka raha ya kusafiri dar unga msafara wa mkulu speed 120, atakayejipendekeza kulaa!
 
Hapa kwetu Arusha ukipita maeneo ya Kaloleni maeneo ya Mrina baa/Shivazi na Picnic baa usiku usiposimama kuna wale Madada poa wanaofanya biashara za mwili wanasimama mbele ya gari lako na kuvua nguo ili ufanye nao biashara kwa nguvu! Wenye Kiu hii inawahusu!
 
ukitaka raha ya kusafiri dar unga msafara wa mkulu speed 120, atakayejipendekeza kulaa!

Inaelekea unahusika na kugongwa yule trafiki maana huna huruma hata kidogo, avatar yako inajieleza...................!:A S 39:
 
usishangae pikipiki kuingia chini ya uvungu wa gari lako.

Kwenyentraffic light taa zikiwaka kijani kukuruhusu kula pozi maana waliopita awali yako wataendelea kupia....

Kuwa makini na pikipiki ukiwa kwenye traffic lights wao hawaangalii taa unaweza mchota
 
14) Unapoingia Petrol Station, make sure macho yako hayabanduki kwenye kisoma bei cha pampu, hukawii kulipishwa/kuunganishiwa na bei aliopita kabla halo ukalipa zote.
15)Ukubali kuibiwa vitu km Window power or Side Mirrow Popole upakiapo gari or kwny foleni
 
Back
Top Bottom