Unataka kuolewa mdada umejipanga?

Unataka kuolewa mdada umejipanga?

Mazoea mabaya sn,ukimlamba mwanaume miguu sana na akajua unahitaji ndoa kuliko hata yeye anakimbia...mda mwingine wanawake tujitathmini tumeaminishwa kupenda status ya ndoa kuliko kuenjoy mapenzi na mwanaume husika,, hata akufanyie b.sh.it unavumilia tu ili uolewe jmn..not always akikosea na ye mchane live ama km vp walk away...atleast tishia japo...na mpende mwanaume jinsi alivyo ndoa ni matokeo ya mapenzi baina yenu..tupunguze kupenda harusi tupende ndoa na kuishi kwa amani


umesema yote [HASHTAG]#redlady[/HASHTAG] onyesha tabia yko usifake kitu chchte!yaan be real! kama ipo ipo tu! mie wala sikuwah fikiria kuja kuolewa sikuwa natamani maana mie ni very talktive mwee! lakini nakumbuka kitu cha 1 mume aliniambia napenda unavyoongea kama cherehani hujui kununa! nilimuona wa ajab lakini ndo hvyo! mie sifichi tabia yangu hata siku 1!
 
ujumbe muruaaaa huu

lakini wadada wa humu ndani hawawezi kukuelewa hata kidogo; wengi wao ni majuha na wanajiona wao ndio wao na wengi tayari imeshafika saa 10 na wamekata tamaa. kazi yao ni kichambo tu kwa wanaume coz wanajijua hawaoleki tena

jiwe gizani ukisikia paaaaa ujue.....!
 
ujumbe muruaaaa huu

lakini wadada wa humu ndani hawawezi kukuelewa hata kidogo; wengi wao ni majuha na wanajiona wao ndio wao na wengi tayari imeshafika saa 10 na wamekata tamaa. kazi yao ni kichambo tu kwa wanaume coz wanajijua hawaoleki tena

jiwe gizani ukisikia paaaaa ujue.....!
Hao "wadada wa humu" wanaochamba waume zao unawajua wangapi? Au ilimradi tu nawe umechangia mada!!!
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Na moyo uliopondeka.
[emoji125] [emoji125] [emoji125]


hahahahahahahahah! walah ndoa hizi khaaa!nilifanya bwana ile ya kupokea had koti siju nkumvua viatu,i kufungua vishikizo aliniuliza oya UMETUMWA NA CHADEMA EH???yaan niliishia kucheka hatari kwakwel kila mtu na ndoa yake
 
hahahahahahahahah! walah ndoa hizi khaaa!nilifanya bwana ile ya kupokea had koti siju nkumvua viatu,i kufungua vishikizo aliniuliza oya UMETUMWA NA CHADEMA EH???yaan niliishia kucheka hatari kwakwel kila mtu na ndoa yake
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Heaven Sent njoo umchukue mrs air maana hana huruma na mbavu zangu.
 
Kuna binti nlitaka nimuoe nkabadilisha mawazo sababu hataki kuacha kuvaa makatani kichwani
[emoji23] [emoji23] [emoji23] we sio mtu mzuri kabisa kwahiyo ulitaka ashinde na twende kilioni tu
 
Back
Top Bottom