Nalendwa
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 7,466
- 13,031
Asante Ney mpenzi halaf ujue nakufananishaga na Nalendwa jamaan
Ah ah ah kwanini lakini au tuna some elements zinazoendana?
Nimemkumbuka yule dada aliyesema ye akivurugwa anachamba kuanzia mume na ukoo wake wote.




Last time kapata mchumba, akamuektia mchumba kaingia line akamvalisha engagement, kuanza upelelezi jamaa akaambiwa huyo mwanamke hafai anatukana mno, jamaa kaenda kumuuliza baby nmesikia hivi na hivi, swali la kwanza mwanamke kauliza ni matak* gani huyo kasema, akashusha matusi mchumba akamwambia basi mama hiyo pete utatengeneza hereni, kala kona








Heheh!, Ney utawaweza hawa naona wanafurahia tulivyo upara! 😀




![]()
![]()
![]()
![]()
Nalendwa shikamoo jamaan ulikuwa wapi lakini
Umeona eenh karibu sana mamy tulimiss tu uwepo wakoMarahaba bibie mzima?
Mie nipo mwaya. Asee shukran sana kwa hili somo hapa, manake sio kwa ukweli huu.
Halafu nimependa mada ime base kote kote kwa wanaume bora waoaji na wanawake waolewaji.
Tena tunaenda kuongezea maujuzi ya miss natafuta ya Vaseline na Olive oil kwenye ngozi ndo zing'ae vizuri. Tutakuwa tunawaka humu ndani Itabidi muingie na sunglassesAvatar zao?

![]()
![]()
![]()
![]()
Chezea ndoa wewe!
hahahahahahahahah! walah ndoa hizi khaaa!nilifanya bwana ile ya kupokea had koti siju nkumvua viatu,i kufungua vishikizo aliniuliza oya UMETUMWA NA CHADEMA EH???yaan niliishia kucheka hatari kwakwel kila mtu na ndoa yake
uliishiwa pozi bctKweli maana tupo wengi jmnHehe unatafuta hapaebu kuwa serious aisee
