TGInnocent
JF-Expert Member
- Feb 7, 2013
- 1,088
- 583
Akiisha pevuka hana jinsi utamuona tu anavyobadirika na kuhaha kumpata.Wakati huo nawe unajiandaa kuwa mume na baba??
Akiisha pevuka hana jinsi utamuona tu anavyobadirika na kuhaha kumpata.Wakati huo nawe unajiandaa kuwa mume na baba??
Shida ni kuwa unajiandaa kuwa sasa umekua and yo ready for a certain kind of life(ndoa) kwasababu gani? Yo desparate,umri unakutupa,jamii inakusakama,nawe wataka harusi,fulani nae kaoa/kaolewa,au???Wanaume nao wamegawanyika hivyohivyo, waoaji na wachezaji. Wachezaji huwa ni vigumu sana kutua kwenye viwanja vya waolewaji labda kama muolewaji yuko mguu pande kwenye suala la ndoa. Mada imefafanua vizuri upande wa wadada.
Ndo Hivyo DadaWacha we!!!
Ukiambiwa uelezee mipango yako ole wako usitaje neno ndoa, hauelewekiii , utapewa ushauri nasaha mgonjwa wa UKIMWI kasingiziwa.Nimecheka kama mazuri
Hehehe usinikumbushe mie. Afu watu wa nje ndo huwa wanakupa presha weee huku familia yako walaaaUkiambiwa uelezee mipango yako ole wako usitaje neno ndoa, hauelewekiii , utapewa ushauri nasaha mgonjwa wa UKIMWI kasingiziwa.
Wanaangalia Muoaji Tu Hao Hakuna LingineHivi wanawake mnachagua mnayempenda na mkapendana au mnaangalia tu muoaji...ufafanuzi pliz
Hili swali ni subjective, kila mtu ana anachoangalia.Hivi wanawake mnachagua mnayempenda na mkapendana au mnaangalia tu muoaji...ufafanuzi pliz
Tena mwanamke utachapwa na fimbo ya menopose juu, basi hapo pressure inashuka na kupanda teh teh teeeeh!!!Hehehe usinikumbushe mie. Afu watu wa nje ndo huwa wanakupa presha weee huku familia yako walaaa
Hahaa acha kabisaaaaaTena mwanamke utachapwa na fimbo ya menopose juu, basi hapo pressure inashuka na kupanda teh teh teeeeh!!!
Hili swali ni subjective, kila mtu ana anachoangalia.
i truly trust wengi mnaangalia tu mwenye nia basi...