Ann Annie-tunaye Mungu!Muziki si kitu cha kawaida kama wengi tunavyodhani,Muziki ni nguvu katika ulimwengu wa Roho,inaweza vuta nguvu ningine za kiroho kuja eneo la tukio
Muziki ni dawa ya nafsi inaweza kutibu na kubadilisha vile una feel dakika yeyote.
Anko Jei napenda kufahamu,ukiwa sad unasikiliza wimbo/nyimbo gani,ili kutibu nafsi yako,na kurudi kwenye hali ya kawaida?
Binafsi ni mtu wa Gospel sana na wimbo unaonipaga nguvu ni huu
Christopher Mwahangila - Yesu yuko hapa
Wewe unasikiliza wimbo gani?
4sure!!! eg "teach the world" by Dube.any Reggae music .brings peace of mind, brings harmony,brings hope
Yeah kama teach the world na Dracuala!!!reggae za luck dube
Naupenda pia huu wimboPatrick kubuya- Moyo wangu
Reggae ni mziki wa kipekee sana4sure!!! eg "teach the world" by Dube.
kweli kabisa ni muziki unaoishi ...Reggae ni mziki wa kipekee sana
Nyimbo za mwisho mbona ngumu kumezaHua naanzia hapa,
Pastor musembi
"tabibu",
" ahadi za bwana",
" niumbie moyo safi",
" mataifa yote"
Sara K,...
"Liseme",
"mnyunyizi wangu",
"usiyeshindwa"
Pastor Abihud misholi
" nimechoka", " nani atanitazama",
" tenda miujiza",
"nimechoka unilinde"
Baadae nahamia huku
Soledad westlife
Hold my hand michael jackson ft akon
Iyaz solo
Low life, future
Drop the world lil wayne
Mocking bird eminem
Eminen ft lil wayne no love
Mama, emtee.
Etc