Unapenda watoto?

Unapenda watoto?

Ameshasema akilewa mmuache
😅😅 kwamba saivi kalewa

Mtu anaechukia mtoto hua namuogopa sana bora hata aseme mimi wala sitazaa kwa sababu fulani

Kuliko hiyo kuona watu wanaozaa kama hawana akili yeye asietaka kuzaa ndio ana akili nyingi

Dunia bila watu ni dunia gani
Watu lazima wazaliwe kwa sababu waliopo wanakufa

Na kuzaa mtu anaetaka kuzaa azae watoto anaomudu kuwalea basi
 
Back
Top Bottom