Just Distinctions
JF-Expert Member
- May 5, 2016
- 2,704
- 5,339
Habari za wakati huu, kama ambavyo mnafahamu Serikali imetoa ajira mpya nyingi tu na watu bado wanaendelea kujiunga na utumishi wa umma katika kada mbalimbali, kuna ambao wametoka fresh from school, wengineo kwenye sekta binafsi pamoja na ujasiriamali n.k
Kama inavyofahamika kwenye ajira yoyote changamoto hazikosekani iwe ni figisu,upendeleo, utaratibu, mazoea na kadhalika
Kulingana na uzoefu wako, Je unamshauri nini mtumishi huyu mpya wa umma ili aweze kufanya kazi zake vyema na aweze kufanikiwa pamoja na yote ambayo kwa namna moja au nyingine huwa ni kawaida kutokea na yanaweza kumkwamisha asipochukua tahadhari mapema?
Kama inavyofahamika kwenye ajira yoyote changamoto hazikosekani iwe ni figisu,upendeleo, utaratibu, mazoea na kadhalika
Kulingana na uzoefu wako, Je unamshauri nini mtumishi huyu mpya wa umma ili aweze kufanya kazi zake vyema na aweze kufanikiwa pamoja na yote ambayo kwa namna moja au nyingine huwa ni kawaida kutokea na yanaweza kumkwamisha asipochukua tahadhari mapema?