Unampenda mwanaume anaeweza kukata viuno?

Unampenda mwanaume anaeweza kukata viuno?

Inaonyesha Wewe Utakuja Kukatikia Hadi Wanaume Wenzio
Mkuu kama huwezi ni bora kukaa kimya tu kuliko kuleta kashfa najua roho
inauma jinsi waavyosifiwa wakatikaji, wenzio tunapewa mpaka ahsante.
 
Hii kitu huwa inakuja automatically kulingana na ushirikiano kati ya wahusika... ila huwa nikimkatia mauno hadi anatoa ushuzi. Hapo najua kitu kimekolea
 
Hii kitu huwa inakuja automatically kulingana na ushirikiano kati ya wahusika... ila huwa nikimkatia mauno hadi anatoa ushuzi. Hapo najua kitu kimekolea

Hee....asa ukiendelea si ndo atajinyea kabisa jamani
 
navuta picha jamaa anakatika....

Hahaha huwa nanena kwa lugha
Ukiniamrisha nitukane natukana
Ukiniuliza hata nilichepuka wapi naeza kusema uwii hapana ni tamu kwakweli
Tena uongezee na kunitukana juu kudaaaadeki woooy
 
Mcharuko

Nina mwanaume wangu Mngoni...yaani yeye ndo anabaki controller wa kila kitu.Mwanaume ana mauno yuleeeee, wallah hata nikiolewa sitamuacha.
Yaani ananipeleka puta mpaka naishiwa pumzi.

Hapa asipaone Shark

Nahisi kwa kuzidiwa huko mauno, hukufundwa unyagoni... AU unyago umekupitia mbali... na wallah kama ingekuwa kule JLW mbona ungentambua....
 
Inaonyesha Wewe Utakuja Kukatikia Hadi Wanaume Wenzio

mbona unamkashifu mwenzio .....?

huo ulikuwa utamaduni wao......kama wewe hauwezi waachie waliopata ujuzi huo......
 
ondoa shaka kuchapiwa labda kama katerero ushindwe..... mimi mzima sana

Aisee napendaje kumwaga nuwa hapa panaraha ya ajabu aisee, ila ukanda huu ndio wenye mambo haya kwa wingi
Kagera
Kilimanjaro
Mbeya
Uganda
Rwanda
Burundi
Napenda sana kumwaga nuwa (katerero)
 
Aisee napendaje kumwaga nuwa hapa panaraha ya ajabu aisee, ila ukanda huu ndio wenye mambo haya kwa wingi
Kagera
Kilimanjaro
Mbeya
Uganda
Rwanda
Burundi
Napenda sana kumwaga nuwa (katerero)

ha haha haha haya mkuuu
 
MankaM usisahau kupita hapa rafiki

Mkuu sikuiona hii aiseee usinikumbushe past events nshasagau hizo habari za kucheza bampingi kitandani na jitu zima kama toto vile...... hadi kichefuchefu
 
Last edited by a moderator:
Mbona mimi ni mkataji mzuri wa mauno kwenye tendo la ndoa? Kwa hiyo kukata kwangu kiuno wakati wa tendo la ndoa kuna maanisha kuwa mimi ni shoga?
Ngoja nimuulize muke ya ujana wangu cacico. My love kam zis wei bebito....
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom