Unampenda mwanaume anaeweza kukata viuno?

Unampenda mwanaume anaeweza kukata viuno?

hahaaaaaaa nataka kuhakikisha yaliyomo yamo?? isijekuwa maneno matupu
Na tena seeing is believing lakini kina nacho kimo manake mie mambo ya ku-pushiana kwa juu kuzuiana nisiende mbele zaidi sitaki kabisa kwa sababu kwa desturi, unapoanza lazima upime how deep it's!
Unaona sasa... ushaanza kuogopa! Kwanza na mimi ndo nilitaka kushangaa, HOE huyu huyu au kuna mwingine ambae nilishawahi kumuuliza ikiwa sio underage!
 
Dem ndo akate mauno mwanaume mauno ya nin kwan una show na akudo impact
 
Hunoga sana, cyo wengne kaz yao juu chn, juu chin, kwan pamekuwa gym. Shurt mpeane raha, raha anayopata m'ume anapokatikiwa basi hata m'mke huipata pia. Na kukata kwa m'ume si kama m'mke useme anakizungisha saaana hamna kidogo tu
 
Hunoga sana, cyo wengne kaz yao juu chn, juu chin, kwan pamekuwa gym. Shurt mpeane raha, raha anayopata m'ume anapokatikiwa basi hata m'mke huipata pia. Na kukata kwa m'ume si kama m'mke useme anakizungisha saaana hamna kidogo tu

naomba tufanye zoezi la kukata kiuno
 
Gongweni na mashog* tu hiyo malijali haituhusu hapa unapgwa dushe bila mauno na bado unakubali mziki. Mauno upunga huo

Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums
 
sio kukata kama baikoko hapana, yaan kuzungusha dizain flan center-east-west-north-south then forwad ...up down ehhhhh nakuendelea
 
Kuna baadhi ya makabila wanaume wanaweza kukata mauno wakati wa majambozkama vile Wangoni, wamakonde, wamakuwa n.k Ni nzuri sana unaenjoy mpaka unafika kileleni, tofautisha mwanaume kukata kiuno na mwanaume kuvaa shanga kiunoni, kukata kiuno sio ushoga, Mi binafsi napenda sana na wako wachache, kama H Baba, na wengi wa kutoka CONGO.

Umemtaja H baba tehe tehe tehe.
 
Samahani sana dada zangu kuuliza si ujinga, napenda kufahamu kama huwa mnapenda mwanaume anaeweza kukatika kitandani yaani kuzungusha kiuno wakati wa tendo la ndoa.
weweee wanapenda sana hawa,wanajidai dai kukana hapa,ila akiingia chumbani wanapenda si mchezo
 
turudusheni jando na unyago. sikuhizi vijana wajifunzaa haya mambo kupitia mikanda ya wazungu. sio mwalimu mzuri. turudisheni tu. itaikoa mahusiano mengi.
 
Back
Top Bottom