Unampenda mwanaume anaeweza kukata viuno?

Unampenda mwanaume anaeweza kukata viuno?

Eeeeh! kumbe kuna wanaume wanaokatika mauno? Hao watakuwa wanaume kama mabinti.

Japo swali halinihusu lakini sidhani kama dada zangu watapenda kuwa na mahusiano na mashoga.

Kuna baadhi ya makabila wanaume wanaweza kukata mauno wakati wa majambozkama vile Wangoni, wamakonde, wamakuwa n.k Ni nzuri sana unaenjoy mpaka unafika kileleni, tofautisha mwanaume kukata kiuno na mwanaume kuvaa shanga kiunoni, kukata kiuno sio ushoga, Mi binafsi napenda sana na wako wachache, kama H Baba, na wengi wa kutoka CONGO.
 
Ngoja Wakongo wawachapie hadi akili ziwakae sawaa.Seya wa viwaloo, Seya tutoke wote.
 
Kim nana

Kwa hizi post zenu naanza kupata jibu.
 
Last edited by a moderator:
Inakua tamu akikuzungushia kulia wewe unamzungushia kushoto,na wala kukata kiuno mwanamme sio ushoga
hua ana kutia ashki flani na mood inaongezeka.
 
Kim nana

Wenye kusemasema oooh seya,Wabaaki na aaaibu! Miss you Babu Seya!
 
Last edited by a moderator:
Ha ha ha ha Huu uzi nahisi utanitoa machozi kwa kicheko, Madame B hivi nikianza
mazoezi leo naweza kumudu, au ndo nitategua kiuno?
 
Nina mwanaume wangu Mngoni...yaani yeye ndo anabaki controller wa kila kitu.
Mwanaume ana mauno yuleeeee, wallah hata nikiolewa sitamuacha.
Yaani ananipeleka puta mpaka naishiwa pumzi.

Hapa asipaone Shark

We mtoto kuna usichojua kwenye mapenzi?
 
Last edited by a moderator:
Nadhani mleta hoja jibu umelipata kwa kuangalia michango ya KE kwenye uzi huu.

my take: Kama huwa hukati mauno anza sasa usije chapiwa ukabaki na majuto.
 
Nina mwanaume wangu Mngoni...yaani yeye ndo anabaki controller wa kila kitu.
Mwanaume ana mauno yuleeeee, wallah hata nikiolewa sitamuacha.
Yaani ananipeleka puta mpaka naishiwa pumzi.

Hapa asipaone Shark

Ha ha ha ha sawa bana we nipigie promo nlikuambia nifanyie mpango kwa rafiki yako Heaven on Earth ukakataa mbona wewe nlikuruhusu uende kidogo
 
Last edited by a moderator:
Nina mwanaume wangu Mngoni...yaani yeye ndo anabaki controller wa kila kitu.
Mwanaume ana mauno yuleeeee, wallah hata nikiolewa sitamuacha.
Yaani ananipeleka puta mpaka naishiwa pumzi.

Hapa asipaone Shark

Shark hawezi kuja huku kwa sasa, yuko kuleee anajibu maswali ya PSPF na gym yake. Usihofu!!!
 
Last edited by a moderator:
Shark hawezi kuja huku kwa sasa, yuko kuleee anajibu maswali ya PSPF na gym yake. Usihofu!!!

Mkuu am a just gym instructor sasa ya PSPF ntayajulia wapi. Ila huyo Madame B ni mchepuko wangu sometym namruhusu atoke kdg
 
Last edited by a moderator:
Samahani sana dada zangu kuuliza si ujinga, napenda kufahamu kama
huwa mnapenda mwanaume anaeweza kukatika kitandani yaani
kuzungusha kiuno wakati wa tendo la uzazi?

Kukata mauno kwa mwanaume ni swala la msingi sana hasa katika dunia hii ya ubunifu wa mapenzi... Kuhusisha na ushoga si sahihi... Inamaana wanamuziki wote kunzia Kiba, Diamond, H baba, Bella,Ommy Dimpoz na wengine kibao ni mashoga... Maana wanakata sana mauno..

Unapokuwa namwanamke kitandani inatakiwa uhakikishe unamtia vizuri ili sio tu heshima iwepo bali piaaridhike na kukuona wewe ni wa umuhimu kwake... Hakikisha unaingiza mtalimbo wako kwa kupeleka kushoto, kulia juu, chini na katikati ambapo sasa ndio tunaita kukata mauno..

Tafadhari hii ni kwa wana ndoa tu au kwa wapenzi sio michepuko.

Apite hapa kuthibitisha miss chagga, Asome Shy land Atoe maoni KikulachoChako, Astaajabu The Boss, Atupie na yake masai dada..
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom