Labda kama unataka uconfirm mtani Kim nanaWaaacha mtanii, so yaliyomo yamo?
Labda kama unataka uconfirm mtani Kim nanaWaaacha mtanii, so yaliyomo yamo?
Labda kama unataka uconfirm mtani Kim nana
Ina utamu wake isizid iwe kiasi
Kuna baadhi ya makabila wanaume wanaweza kukata mauno wakati wa majambozkama vile Wangoni, wamakonde, wamakuwa n.k Ni nzuri sana unaenjoy mpaka unafika kileleni, tofautisha mwanaume kukata kiuno na mwanaume kuvaa shanga kiunoni, kukata kiuno sio ushoga, Mi binafsi napenda sana na wako wachache, kama H Baba, na wengi wa kutoka CONGO.
Utamu wake unazidi utamu wa ubwabwa na maharage?
Nawe unamtaka anaekata viunosasa weee kim nana kazi yako itakus ipi kwenye mechiNgoja Wakongo wawachapie hadi akili ziwakae sawaa.Seya wa viwaloo, Seya tutoke wote.
viungo vya uzazi viume kwani nanii yako ndogo?siyo za kuumizana viungo vya uzazi
viungo vya uzazi viume kwani nanii yako ndogo?
kubwa ila viungo vya uzazi wengine vikubwa zaidi
Mmh!,unaonekana una experience!!::😀
mchaga na mauno wapi na wapi.....nyie waachie kaka zangu wangoni....
Sister nilikuwa na mpenzi mchagga wa Sanya Juu wee acha tu.Nilikuwa napelekwa juu nachungulia dirishani narudishwa. Mwisho nikahonga kiwanja. Kuna binti wa kimachame wacha usiombe. Kuna MC maarufu Arusha alikufa kifuani kwa mchakamchaka. Enzi za ukimalisa funyika simepita .
Hahaha huwa nanena kwa lugha
Ukiniamrisha nitukane natukana
Ukiniuliza hata nilichepuka wapi naeza kusema uwii hapana ni tamu kwakweli
Tena uongezee na kunitukana juu kudaaaadeki woooy
Hahaha huwa nanena kwa lugha
Ukiniamrisha nitukane natukana
Ukiniuliza hata nilichepuka wapi naeza kusema uwii hapana ni tamu kwakweli
Tena uongezee na kunitukana juu kudaaaadeki woooy
Kwa style hii mi kuoa baadae sanaaa..yani siku hizi mwanamke anaweza kuwa ndani ya ndoa ila still akawa anapasha moto viporo vyake
Kinachofuata ni wanaume kuvaa shanga.. Wakongo washaanza kuvaa wao.. Kama huna pesa na kuzitafuta umeshindwa ni bora uende na hizi trends... walianza kuvaa vipini, wakaweka dressing table ndani na kujikoboa sikuhizi wanafundishana kukata mauno, kesho kutwa mtaambiwa mvae shanga..
Huwezi kushindana na ulikotoka kamwe, mwanamke anayejielewa anaridhika na anachokipata, ila wale macho pele kwakuwa wao ni magogo kitandani basi duties zao wanataka waziamishie kwa wanaume.. hasilani mtoto wa kiume kukata mauno ni ushoga unless yanakuja tu yenyewe automatically