Unamkumbuka Dk. Leakey Abdallah?

Unamkumbuka Dk. Leakey Abdallah?

Hilo ni lishamba na limbukeni, anahisi mtu kusahauni jambo la ajabu...
Limbukeni ni wewe ambaye nikikomba uniwekee mahali nilipokataa sijakosea hautaniwekea.

Kama si limbukeni nioneshe wapi nilikataa sijakosea nikabaki na msimamo wangu kwamba aliyepigwa kichwa ni Gattuso.
 
Yuko sawa,Italy na Germany walkutana semi final!!
Yeye akuandika semifinal aliandika fainali.

Na ndio msingi wa marekebisho yangu.

Kama angetaka kumaanisha mechi ya Italy na Germany kwenye kombe la dunia 2006 kwa kutumia neno fainali alipaswa aandike fainali za kombe la dunia 2006 na sio fainali  ya kombe la dunia.

Ukisema fainali ya maana yake ni mechi husika ya fainali na sio mashindano yote kwa ujumla tofauti na ukisema fainali za hapo umeemaanisha mashindano yote kwa ujumla.
 
Kwani kuna sehemu nimekataa sijakosea?

Nikikuoekea ushahidi wa kukubali utasemaje?

Msipende ku skip comments someni zote muelewe.
Post namba 41 nakunukuu

"Sijamlazimisha huo ni ukweli.

Alikosea.

Mimi kukosea kwangu kwa kuandika Gattuso akufanyi yeye awe sahahi kwa kusema fainali ni kati ya Italy na Germany.

By the way ni kumbukumbu tu zilinipotea ni muda mrefu since nishuhudie hiyo game.

Wewe umemrekebisha jamaa aliyesema kuhusu mechi ya Germany vs Italy na kisha ukakosea kuhusu aliyepigwa kichwa ndipo watu wakaruka na wewe kuwa sio Gatuso ni Materazzi. Wewe umeingiwa na jazba kukosolewa na umekiri kuwa ni tukio la muda mrefu, sasa unamkomalia mwenzio aliyesema fainali ya Germany vs Italy ndiye mwenye mapungufu ya kukosea? Kukosea ni jambo la kawaida kwa binadamu ila wewe unataka kuonesha kama kitu cha ajabu vile.
 
Post namba 41 nakunukuu

"Sijamlazimisha huo ni ukweli.

Alikosea.

Mimi kukosea kwangu kwa kuandika Gattuso akufanyi yeye awe sahahi kwa kusema fainali ni kati ya Italy na Germany.

By the way ni kumbukumbu tu zilinipotea ni muda mrefu since nishuhudie hiyo game.

Wewe umemrekebisha jamaa aliyesema kuhusu mechi ya Germany vs Italy na kisha ukakosea kuhusu aliyepigwa kichwa ndipo watu wakaruka na wewe kuwa sio Gatuso ni Materazzi. Wewe umeingiwa na jazba kukosolewa na umekiri kuwa ni tukio la muda mrefu, sasa unamkomalia mwenzio aliyesema fainali ya Germany vs Italy ndiye mwenye mapungufu ya kukosea? Kukosea ni jambo la kawaida kwa binadamu ila wewe unataka kuonesha kama kitu cha ajabu vile.
Wewe urakuwa una jambo lako binafsi na mimi.

Mbona sioni hata msingi wa unachotetea.

Umejawa hisia zaidi kuliko fact.

Mimi naoneshaje kukosea ni kitu cha ajabu?

Mbona mimi nimekosea na nmekubali watu waliponirekebisha au hujasoma comment zote?

Cheki hapa chini nimekubali ni kweli Matterazi na sio Gattuso
Screenshot_20250323-094929.jpg
 
2006 fainali ni kati ya Italy na France sio Germany.

Tukio maarufu ni red card ya Zidane kufuatia kumtwika kichwa Gattuso.

Recheck your facts.
Aliyepigwa kichwa cha tumboni ni Marco Materazzi siyo Gatusso...

Recheck your fact as well..
 
Aliyepigwa kichwa cha tumboni ni Marco Materazzi siyo Gatusso...

Recheck your fact as well..
Hii ndio hasara ya ku skip comments.

Una uhakika sija admitt hayo makosa?

Umepitaia comment zangu zote katika uzi huu?
 
Fainali za World cup mwaka 2006 mechi ya nusu fainali kati ya Italy vs Germany, alisema Italy ni kama sponchi inavyoweza kustahimili maji. Hivyo ukiwapelekea mashambulizi wao wanayakabili tu bila shida yeyote. Germany akafa goli 2 kwa 0 chuma zote zimeingia extra time baada ya dakika 90 kumalizika 0-0
hii mechi , Delpiero, aliingia kama super sub,alipiga first touch moja ya hatari aliyofungia goli la pili na kuwaua kabisa germany
 
Fainali za World cup mwaka 2006 mechi ya nusu fainali kati ya Italy vs Germany, alisema Italy ni kama sponchi inavyoweza kustahimili maji. Hivyo ukiwapelekea mashambulizi wao wanayakabili tu bila shida yeyote. Germany akafa goli 2 kwa 0 chuma zote zimeingia extra time baada ya dakika 90 kumalizika 0-0
Fabio grosso na del pieroooooo.
 
Kwa sasa tuna mashabiki wanatupigia tu makelele; waandaa vipindi wanaalika wehu kufanya uchambuzi. Ukifuatikia hizi media mpaka kinyaa.
Ngozi nyeusi ni nyeusi tu!
 
Wote walitulia mpaka uchambuzi wa Dr. Leakey ukamilike.
Ijumaa jioni anatangaza matokeo ya Jumamosi kwa timu za Ulaya; na Jumamosi. Dah! Yule jamaa alikuwa mwamba.
 
Tanzania ilipopata stesheni za TV kwa mara ya kwanza mwaka 1994 (zilikuwa tatu tu wakati huo) ndipo nilipokuwa namuona DTV na mara nyingine CTN. Yuko wapi siku hizi? Wachambuzi uchwara wamekuwa wengi sana siku hizi baada ya vituo vya TV kuwa vingi
 
Back
Top Bottom