balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 16,507
- 15,127
Bado yupo haiMzee alikuwa fundi ana reference za kutosha😂
Bado yupo haiMzee alikuwa fundi ana reference za kutosha😂
MateraziYeah it was Marco Materrazi.
Bado sijaona wa level yake katika uchambuzi.Mnyamwezi wa Tabora.
Pia anasanaa kubwa sana ya uwasilishaji. Huchoki kumsikiliza.Mzee alikuwa fundi ana reference za kutosha😂
Miaka hii mpira hauna maigizo ya varSitamsahau alichambua final ya Arsenal vs Barcelona 2006.
Akasema Arsenal atafungiwa 2_1
Na Arsenal atapata red card ♦️ na kweli Aluminia alipata red card
Huyu jamaa alikuwa anaweza kukuambia nini makocha wa timu wanafikiria baada ya kipindi Cha kwanza kuisha na anachokizungumza kinaenda kutokea kwelAfungue chuo cha wachambuzi
Jitahidi kuwa na uhakika wa "post" kabla ya kubonyeza "submit" button....Hii ndio hasara ya ku skip comments.
Una uhakika sija admitt hayo makosa?
Umepitaia comment zangu zote katika uzi huu?
Kumbuka zinaitwa fainali za kombe la duniaSijamlazimisha huo ni ukweli.
Alikosea.
Mimi kukosea kwangu kwa kuandika Gattuso akufanyi yeye awe sahahi kwa kusema fainali ni kati ya Italy na Germany.
By the way ni kumbukumbu tu zilinipotea ni muda mrefu since nishuhudie hiyo game.
ali kuwa pale tv1 kabla haija uzwaTanzania ilipopata stesheni za TV kwa mara ya kwanza mwaka 1994 (zilikuwa tatu tu wakati huo) ndipo nilipokuwa namuona DTV na mara nyingine CTN. Yuko wapi siku hizi? Wachambuzi uchwara wamekuwa wengi sana siku hizi baada ya vituo vya TV kuwa vingi
Shukrani kwa kumbukumbu swafi kabisa Mkuu🙏Germany walipigwa magoli ya counter View attachment 3280454
Kalikuwa kaongo kaongo.View attachment 3279077
Rejea Majukwa makubwa ya soka Enzi hizo kama
•Ligi kuu za Ulaya
•UEFA Champions league
•FIFA World Cup
Unamkumbukaje Mzee wetu Dokta Leakey Abdallah ?
Sijawahi ona m2 anatoa tathmini na zinakaa mule mule Kama huyu mzee.Kalikuwa kaongo kaongo.
Huyu mtaalamu apewe mau yake kwa enzi zake alikua ndiye mchambuzi pekee aliyekua anauwezo wa kuchambua mpira nyakati zake kwasababu alikua anafiatilia sana ligi za mbeleView attachment 3279077
Rejea Majukwa makubwa ya soka Enzi hizo kama
•Ligi kuu za Ulaya
•UEFA Champions league
•FIFA World Cup
Unamkumbukaje Mzee wetu Dokta Leakey Abdallah ?
Nakumbuka fainali ya 1986 Argentina VS England.View attachment 3279077
Rejea Majukwa makubwa ya soka Enzi hizo kama
•Ligi kuu za Ulaya
•UEFA Champions league
•FIFA World Cup
Unamkumbukaje Mzee wetu Dokta Leakey Abdallah ?
Mkuu huu uchambuzi aliufanyia stasheni gani mwaka huo wa 1986?Nakumbuka fainali ya 1986 Argentina VS England.
Leakey alisema Diego Maradona atafunga goal hata kwa utata, na ikawa hivyo.
Hadi Argentina akabeba ndoo.
Huyu ndo Mchambuzi wa kweli hapa Tanzania.
Hivi yuko wapi Now days??
Huyo Yanga mara ya mwisho alimfunga lini? Kweli mpira umevamiwa au umesahau kuwa ni ninyi munaolia kila siku kuwa GSM anahonga timu upinzani? Au umesahau ni ninyi mulipigwa 5 mukalalamika kuwa wachezaji wenu walihongwà?Wale wenye jicho la mpira wanaona kabla mechi haijachezwa kutokana na tabia za wachezaji.Mfano unajua kabisa beki za yanga zitasababisha penalty kumkaba Mpanzu au Kibu hivyo mashabiki wao wanaanza kampeni ya propaganda eti Simba anapata penalty za mchongo
Huyo mzee alikuwa na access na mitandao na alikuwa anadesa sana kabla ya kuingia studio.Nakumbuka fainali ya 1986 Argentina VS England.
Leakey alisema Diego Maradona atafunga goal hata kwa utata, na ikawa hivyo.
Hadi Argentina akabeba ndoo.
Huyu ndo Mchambuzi wa kweli hapa Tanzania.
Hivi yuko wapi Now days??
Achana na watu kama hao hawajui chochote.Huyo Yanga mara ya mwisho alimfunga lini? Kweli mpira umevamiwa au umesahau kuwa ni ninyi munaolia kila siku kuwa GSM anahonga timu upinzani? Au umesahau ni ninyi mulipigwa 5 mukalalamika kuwa wachezaji wenu walihongwà?
Recheck alsoZidane alimtwanga kichwa Gatuso gani??
Gatuso au Materaz??