Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 371,548
- 860,676
- Thread starter
- #221
Sumu haionjwi lakiniNgoja nipite ambiance nijikamatie ka-sukubasi kangu mwanana
Sent using Jamii Forums mobile app
Sumu haionjwi lakiniNgoja nipite ambiance nijikamatie ka-sukubasi kangu mwanana
Vyakula vyote vina sumu ikiwemo asali na sifa zake ishu ni kula kiduchu ,majini hayana ngoma mkuu
mkuu huyo hakufai Nile mamba yakeMrembo niliyenaye kwa sasa nahisi ni mmoja wao, ni mrembo kwa vigezo vyote vya urembo. Mazingira ya kukutana naye na kuanzisha mahusiano ni utata mtupu, kifupi alinishobokea mara tu tulipo onana. Vidume wengi waliishia kuliwa vimafao vyao na kutoswa. Hapo kwenye deki ndo starehe yake kuu, tena ni aina ile ya mabinti wenye kusquart kama bomba, ikipigwa deki lazima nilowe uso wote
Hiyo ngumu Mkuu, hapo sina mpango wa kubanduka karibunimkuu huyo hakufai Nile mamba yake
mkuu ni kama za kidini tu,achana nae wengi tuko nawe.Ok sawa... Asante.!
Jr[emoji769]
Mkuu plz huyo ni uzao wa shetani mkuu nipe mkuuHiyo ngumu Mkuu, hapo sina mpango wa kubanduka karibuni
Kama ni uzao wa shetani basi shetani fundi sana, nimekubali kwa hiari kuwa mateka. Omba jingine, kwa hilo nakushauri uishie hapo hapo, vinginevyo nitakuweka kwenye list ya maadui wa starehe yanguMkuu plz huyo ni uzao wa shetani mkuu nipe mkuu
Basi mkuu ukimwacha nikumbuke katika ufalme wakoKama ni uzao wa shetani basi shetani fundi sana, nimekubali kwa hiari kuwa mateka. Omba jingine, kwa hilo nakushauri uishie hapo hapo, vinginevyo nitakuweka kwenye list ya maadui wa starehe yangu
[emoji15][emoji15][emoji87][emoji87][emoji23][emoji23][emoji23]Kama ni uzao wa shetani basi shetani fundi sana, nimekubali kwa hiari kuwa mateka. Omba jingine, kwa hilo nakushauri uishie hapo hapo, vinginevyo nitakuweka kwenye list ya maadui wa starehe yangu
Sifa zimetajwa chache tu kupenda makucha na kunyanywa nyuchi, sasa kama ni wife na muda wote hujaziona hizo sifa mpaka ndio leo ukamchunguze hilo ni tatizoMkuu kwa hiyo SAMAEL na yeye baada ya kuzama chumvini alibakia kuwa malaika mkuu?,
Hayo mambo mengine itabidi leo nikirudi home nimchunguze wife kama ni sukubasi
Kho! Kho! Kho!