Je unajua kuwa unapomtumia hela Demu wako anakula na familia yake?
Wanaume naomba tubadilike aisee! Demu anapokuomba hela make sure kwanza unatuma kwa Bi Mkubwa wako kwenu.
Kwa mfano Demu amekuomba 10,000 na wewe una 12,000 hakikisha unatuma 11,500 kwenu kwa Bi Mkubwa halafu Jero inayobaki ndio unamtumia Demu wako.
KATAA KAUSHA DAMU HAWANA SHUKURANI JUU YAKO
Wanaume naomba tubadilike aisee! Demu anapokuomba hela make sure kwanza unatuma kwa Bi Mkubwa wako kwenu.
Kwa mfano Demu amekuomba 10,000 na wewe una 12,000 hakikisha unatuma 11,500 kwenu kwa Bi Mkubwa halafu Jero inayobaki ndio unamtumia Demu wako.
KATAA KAUSHA DAMU HAWANA SHUKURANI JUU YAKO