mayonise
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 259
- 50
Wale waliokuwepo Iringa miaka 80 kuna jamaa aliogopeka sana kwa tuhuma hizo alikuwa akifahamika kama Sekeni
Daaaaaaah ingawa nilikuwa mtoto lakn hilo jina nalikumbuka vizr sana tulikuwa tunajikusanya makundi makundi alfajiri ya saa kumi 7bu shule ilikuwa 7km halafu katkri hapo ni pori tupu bac viroho juu juu