Monyiaichi
JF-Expert Member
- Jul 5, 2012
- 1,826
- 508
Stori zalongi sana duh! tuliokuwa tunasoma shule za mbali unapita msituni unafika Shule roho uko mikononi, nilikua nakimbia kutoka nyumbani mpaka Shule
dah bush ilikuwa noma tupu, ukiona mtu kwenye kichaka kwa mbali unageuza mbio eti mumiani kajificha anangojea watu, unatimua hadi nywele zote utosini zinasimaa. ukiwa mtoto unatishika kwa urahisi sana