Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,286
- 10,831
class letu lilikuwa halina madirisha ya nyavu wala hakuna frem..ni kama boma, basi ukisikia tu 'manyonya' unachomoka ktk uwazi wa dirisha home hapo hadi kesho....... kimsingi sijawahi kuwaona ila nimekimbia mara nyingi