Unakumbuka wanyonya damu mashuleni?

Unakumbuka wanyonya damu mashuleni?

Na ulikuwa ukikimbia unaambiwa usiangalie nyuma, kioo kitakuvuta. Basi dah ni mbio tu mpaka nyumbani kitandani.

Yaani nimecheka sana nakumbuka mbali sana nikiwa darasa la nne gari la msalaba mwekundu lilikuja shuleni mapambano. Basi tulitoka nduki me niliruka fensi ya michongoma hata sijui nguvu nilipata wapi tuna kimbia sasa kuelekea home mbele tunaona gari nyingine inatokea zahanati ya kifumu hatua chache kutoka shuleni jamani nilingia kwenye nyumba ya watu hadi chumbani yaani sitaki hata kukumbuka jamani utoto sometime raha
 
Yani we acha tu.
Nilikuwa mtata mwisho.
TTCL mama alikuwa anafanya kazi, basi nakwambia twachukuana haooo...
Ni panda shuka...panda shuka.
Hapo niko drs la 3.
Tukitoka hapo twaenda Snow Cream.
Dereva wa home akitufata ye ndio akatuchukulie mabegi ya Dino shule,unayakumbuka?
Tahfif tumedokoa sana vipenseli, viufutio...

kudadeki Madame B mabegi ya dinosairi usipime,ukiwa nalo we unaonekana wa kishua mbayaaa! sema yalikuwa makubwa,ukiweka mgongoni linakuvaaa,but unakomaa nalo,na mabegi ya montana,long time
 
kudadeki Madame B mabegi ya dinosairi usipime,ukiwa nalo we unaonekana wa kishua mbayaaa! sema yalikuwa makubwa,ukiweka mgongoni linakuvaaa,but unakomaa nalo,na mabegi ya montana,long time

Umeona ee!
Hv yalikuwa yana zipu ngapi?
Na vi-part vingapi?
Yani mabegi yale yalikuwa bomba sana.
 
nakumbuka hasahasa zilikuwa siku za jumanne na jumatano ndo hasa uvumi ulikuwa mkubwa ila nakumbuka pia kulikuwa na chanjo za ndui walizokuwa wanatoa shuleni basi ilikuwa balaa ikifika hizo,ila sijasikia kuna mwanafunzi amepotea au kunyonywa damu !ila nyonya damu(mumiani) walikuwepo hasa hasa vetenery temeke

ndani
 
nakumbuka hasahasa zilikuwa siku za jumanne na jumatano ndo hasa uvumi ulikuwa mkubwa ila nakumbuka pia kulikuwa na chanjo za ndui walizokuwa wanatoa shuleni basi ilikuwa balaa ikifika hizo,ila sijasikia kuna mwanafunzi amepotea au kunyonywa damu !ila nyonya damu(mumiani) walikuwepo hasa hasa vetenery temeke

ndani

Hata ndui kuna wanafunzi walikuwa wanasema baba ametukataza kuchomwa..kuna wazazi walikuwa wakali..nakumbuka nw ilizushiwa imani gani sijui
 
Hii...thread imenikumbusha mbali sana.....life ilkuwa fun ukikumbuka vizuri....mmesahau ishu za majini au mashetani chooni..duh nakumbuka drs la 4 au la 5 dogo mmoja kaenda chooni cjui kapanda kwenye nini huko ndan akatokezea kwa juu tu manyoa ya kuku....na choo cha shule kilovokuwa kirefu na akijaezekwa basi mmoja kasema tuko drsn oneni jini lile we we wew na zamani tulikuwa tunakalia tofari..darasa full vumbi no wavu dirishani.....shule ilitawnyika kila mtu kwao......acha tu...hiz shule zetu za uswazi wa Ukombozi pr manzese, sinza mihogoni, uzuri, tandale mtakumbuka sana matukio ya majini....
kuna siku drs la 5 sitahsahu ktk shule yangu ya UKOMBOZI pale tulikuwa na Mwl wa Engilsh anaitwa Mollel huyu mama ni masai,,alikuwa anachapa tena ovyo ovyo...akatkutana na mziki wa mtoto wa uswahilini hapendi english yake....wakt anakagua daftar kama mtu ajafanya kaz yako fimbo hapo hapo kila mahali ktk mwili,,sitomsahu kuna mwanafunzi alidai ana mashetan akamwambia mwl mm sipigwi kichwani....mwl akakiaid alipofka kwake...duh akamchapa na bahti mbya akamgonga kichwan..... dogo aktulia km dk 10 hivi..duh mama molel karud kukaa tu...dogo kainuka taratibu kufika pale kwa mwl..duh dogo katoa macho na sauti kubwa RAHAAABI RAHAABIB....wee...sisi tena vierere tumelizua mlango mdogo kapndsha mashetan mwl mbio ofisn dogo anafmufuata...shule taahruku na karibu shule nzima ikakimbilia kwao kwa mama yake kupeleka umbea...mwanao kachapwa kichwan kapandisha mashetan mama nae kibwe kibwe hicho.....ule mziki ulikiwa si wa ktoto.....dogo siku hizi nasikia mganga maarufu sana.....sitohasau...alikuwa rafik yangu basi nilimuogopa sana tangu siku ile.......
shule ziku hizi hakuna hata Profesor singila anakuja na uchawi wa? duniaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Dah!
Kitambo sana ndani ya TA.
"Msekwa mganga wa kienyeji" hilo jina lilikua kiboko ya watukutu wote.
Ukiwa kwenye mishemishe ukiona gari jekundu tu.....unaenda kuwauliza nyumbani lilikua linatoka wapi linaenda wapi wakati wala hawakuwepo huko ulikokuwa.
Lakini hii nyenzo ilitumika vizuri sana na wazazi kutudhibiti watukutu na wazururaji, maana dah! enzi hizo wazazi walipata tabu sana.
Watoto wa siku hizi wapole sana.
Kwa wale waliokulia Tanga mjini, maeneo kama Jaje, Kange, CAC, na mengineo tulikua tunakwenda kwa minyato...
 
Hii...thread imenikumbusha mbali sana.....life ilkuwa fun ukikumbuka vizuri....mmesahau ishu za majini au mashetani chooni..duh nakumbuka drs la 4 au la 5 dogo mmoja kaenda chooni cjui kapanda kwenye nini huko ndan akatokezea kwa juu tu manyoa ya kuku....na choo cha shule kilovokuwa kirefu na akijaezekwa basi mmoja kasema tuko drsn oneni jini lile we we wew na zamani tulikuwa tunakalia tofari..darasa full vumbi no wavu dirishani.....shule ilitawnyika kila mtu kwao......acha tu...hiz shule zetu za uswazi wa Ukombozi pr manzese, sinza mihogoni, uzuri, tandale mtakumbuka sana matukio ya majini....
kuna siku drs la 5 sitahsahu ktk shule yangu ya UKOMBOZI pale tulikuwa na Mwl wa Engilsh anaitwa Mollel huyu mama ni masai,,alikuwa anachapa tena ovyo ovyo...akatkutana na mziki wa mtoto wa uswahilini hapendi english yake....wakt anakagua daftar kama mtu ajafanya kaz yako fimbo hapo hapo kila mahali ktk mwili,,sitomsahu kuna mwanafunzi alidai ana mashetan akamwambia mwl mm sipigwi kichwani....mwl akakiaid alipofka kwake...duh akamchapa na bahti mbya akamgonga kichwan..... dogo aktulia km dk 10 hivi..duh mama molel karud kukaa tu...dogo kainuka taratibu kufika pale kwa mwl..duh dogo katoa macho na sauti kubwa RAHAAABI RAHAABIB....wee...sisi tena vierere tumelizua mlango mdogo kapndsha mashetan mwl mbio ofisn dogo anafmufuata...shule taahruku na karibu shule nzima ikakimbilia kwao kwa mama yake kupeleka umbea...mwanao kachapwa kichwan kapandisha mashetan mama nae kibwe kibwe hicho.....ule mziki ulikiwa si wa ktoto.....dogo siku hizi nasikia mganga maarufu sana.....sitohasau...alikuwa rafik yangu basi nilimuogopa sana tangu siku ile.......
shule ziku hizi hakuna hata Profesor singila anakuja na uchawi wa? duniaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

Dah tulikuwa tunakuja ukombozi kwa mtaalamu..unamkumbuka yule mwalimu brothermen wa tution pale ukombozi..miogo yenu ilikuwa balaa tunakula mpaka nauli halafu tunakula border kwenda home mpaka sinza..
 
Hii...thread imenikumbusha mbali sana.....life ilkuwa fun ukikumbuka vizuri....mmesahau ishu za majini au mashetani chooni..duh nakumbuka drs la 4 au la 5 dogo mmoja kaenda chooni cjui kapanda kwenye nini huko ndan akatokezea kwa juu tu manyoa ya kuku....na choo cha shule kilovokuwa kirefu na akijaezekwa basi mmoja kasema tuko drsn oneni jini lile we we wew na zamani tulikuwa tunakalia tofari..darasa full vumbi no wavu dirishani.....shule ilitawnyika kila mtu kwao......acha tu...hiz shule zetu za uswazi wa Ukombozi pr manzese, sinza mihogoni, uzuri, tandale mtakumbuka sana matukio ya majini....
kuna siku drs la 5 sitahsahu ktk shule yangu ya UKOMBOZI pale tulikuwa na Mwl wa Engilsh anaitwa Mollel huyu mama ni masai,,alikuwa anachapa tena ovyo ovyo...akatkutana na mziki wa mtoto wa uswahilini hapendi english yake....wakt anakagua daftar kama mtu ajafanya kaz yako fimbo hapo hapo kila mahali ktk mwili,,sitomsahu kuna mwanafunzi alidai ana mashetan akamwambia mwl mm sipigwi kichwani....mwl akakiaid alipofka kwake...duh akamchapa na bahti mbya akamgonga kichwan..... dogo aktulia km dk 10 hivi..duh mama molel karud kukaa tu...dogo kainuka taratibu kufika pale kwa mwl..duh dogo katoa macho na sauti kubwa RAHAAABI RAHAABIB....wee...sisi tena vierere tumelizua mlango mdogo kapndsha mashetan mwl mbio ofisn dogo anafmufuata...shule taahruku na karibu shule nzima ikakimbilia kwao kwa mama yake kupeleka umbea...mwanao kachapwa kichwan kapandisha mashetan mama nae kibwe kibwe hicho.....ule mziki ulikiwa si wa ktoto.....dogo siku hizi nasikia mganga maarufu sana.....sitohasau...alikuwa rafik yangu basi nilimuogopa sana tangu siku ile.......
shule ziku hizi hakuna hata Profesor singila anakuja na uchawi wa? duniaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

Bila kumsahau Profesa Eyesso!
 
Yaani nimecheka sana nakumbuka mbali sana nikiwa darasa la nne gari la msalaba mwekundu lilikuja shuleni mapambano. Basi tulitoka nduki me niliruka fensi ya michongoma hata sijui nguvu nilipata wapi tuna kimbia sasa kuelekea home mbele tunaona gari nyingine inatokea zahanati ya kifumu hatua chache kutoka shuleni jamani nilingia kwenye nyumba ya watu hadi chumbani yaani sitaki hata kukumbuka jamani utoto sometime raha
Mapambano,unanikkumbusha mbali sana,nilisoma pale,nilimaliza mwaka 1993,namkumbuka mwalimu,Mkoba,Zayumba,Chilumba,sijui kama yupo hai,na wengineo
 
we acha tu sasa imebakia kuwa kumbukumbu.
Mnakumbuka mazingaombwe eti mtu anazaa chura. Pia kuikua na uhaba wa uniform basi tukawa tunavaa sketi nyeupe wanaita marudufu kama sikosei. Enzi zile zilikua na raha yake sisi watoto wa wakulima nakumbuka tulikua tunabeba mifuko ya Rambo au karatasi au kama wazazi wakiweza unashonewa mfuko wa nguo. Vipi viazi mbatata vilivyokua vinapikwa shule tunauziwa senti 20 kwa kipande na mchuzi wa Nazi basi mtamegeana hadi basi.
 
Dah ukitaka kujua humu ndani..tukitoa idfake tunajuana sana..nilisoma la kwanza na la pili..chilumba nilimuona kawaimbisha sana nyimbo za bondeni..sasa mapambano nyonya damu ndio ilikuwa kama kwao watoto kila saa wanakimbia mpka wanataka kugongwa na magari kweli kitambo..
 
Mnakumbuka mazingaombwe eti mtu anazaa chura. Pia kuikua na uhaba wa uniform basi tukawa tunavaa sketi nyeupe wanaita marudufu kama sikosei. Enzi zile zilikua na raha yake sisi watoto wa wakulima nakumbuka tulikua tunabeba mifuko ya Rambo au karatasi au kama wazazi wakiweza unashonewa mfuko wa nguo. Vipi viazi mbatata vilivyokua vinapikwa shule tunauziwa senti 20 kwa kipande na mchuzi wa Nazi basi mtamegeana hadi basi.
Ablessed, hapo kwa red umechapia! Enzi hizo, mifuko ya rambo haikuwepo, ilikuwepo mifuko ya karatasi pia mifuko ya nguo, kitambaa cha khaki-ngumu.
 
enzi hizo haina cha mtoto wa tajiri wala nini,sote tunasoma shule moja tu.
 
Ablessed, hapo kwa red umechapia! Enzi hizo, mifuko ya rambo haikuwepo, ilikuwepo mifuko ya karatasi pia mifuko ya nguo, kitambaa cha khaki-ngumu.

ilikuwepo bro tena ilikuwa na picha ya rambo mwnyewe tena yote ilikuwa ya blue sio hii ya lae kuna mifuko ya kila rangi...kengele ikilia kama mwal mnoko bado anafundisha hataki kuisikia kengele basi hakuna kusikilizana ni kelele za mifuko chahcaachaa kila mtu anakusanya vitu vyake kimya kimya
 
mwenzio akiruka mkojo wako kipindi unakojoa,unakumbuka nini?
 
Back
Top Bottom