Unakumbuka breakup yako ya kwanza?

Unakumbuka breakup yako ya kwanza?

Teh teh! [emoji16]kumbe unatumia vodka

Ina Ka spice Fulani hv unakaskia hadi kwenye kwenye koromeo ina ladha ya tangawizi ukitaka uifaidi Mix well with lemonade, sparkling water or cola,

Situmii ila chupa yake inanivutia tu[emoji23][emoji23]nilijua ntapata details kwako asante
 
Dah! Hii Dunia Jamani.
Kipindi hicho niliumia sana, nilijiona dhaifu sana mpaka nikajidharau.
Siku ya Mwisho nikikuwa Kawe Beach na ex Wangu, akanambia laivu its over. Sikuweza kumjibu.
Ila niligundua kuwa alinicha kwa sababu Ex Wake alipata kazi. Wakarudiana.

Saivi hata nikiachwa siumii
 
Nilipendana na huyo kaka kipindi nakua nilikaa nae miaka miwili, nilikua hata nikikosana nae kidogo mambo mengine hayaendi kiufupi nilimpenda alinipenda pia.
Siku nimekaa nyumbani nilimpigia simu nimjulie hali aliniambia 'Nipo nanyoa nywele saluni nitakupigia' baada ya muda nilisindikizwa na ujumbe ' Naona tuachane naona siwezi tena kuendelea na wewe' Sitaisahau hii siku nilipagawa nililia sana na kila nikiuliza sababu anasema amechoka tu na mahusiano yetu.

Nilijikaza maisha mengine yakaendelea ila cha moto ndio nilikipata hadi shule sikuwa nafanya vizur tena maisha mengine nayo yakawa ovyo tu lakini nashukuru nilikuja nikasahau na maisha mengne yakaendelea. Kuachwa ni mtihani kwa kweli. Wewe kaka popote ulipo ubarikiwe sana ingawa uliniacha lakini ulikua na vitu sijawahi kutana navyo popote pale hadi leo hii.

God bless you kwa Ukarumu wako
 
Yani mimi Yani mimi nilikuwa maarufu ktk kuumiza watu, kiasi kwmba kumwambia mtu tuachane ni kitu chepesi sana tena sana, nilikuwa sijali machoz ya watu lkn siku nilipoachwa mimi, apo ndipo mafikirio ya watu wa nyuma yaliponijia, eeeh hv kumbe maumivu ndivyo yalivyo ivi?, yani kumbe moto wa mapenz ndo upo ivi ukiachana na mtu ?, afu ss amenila kbs yani amenila ...nikasema ngoja..nkarudiana nae yule mtu ingawa nilikuwa nampenda lkn tukizinguana kidg tu namuacha bila huruma..cjui ata anaumiaje uko..namuacha kabisa , mpk ss nimeshamuacha zamani tu lkn nikiwa nishamlipizia kisasi....muda mwngne huwa nasema yale ndo yalikuwa malipo au mana kha maumivu siyo mchezo...mpk ss nimekoma kuumiza watu wenye upendo wa kweli kwangu.

That’s Why I would like to met you P
 
Duh hadi bmkubwa alijua ili nalo tatizo mkuu
Ile msg ya Naona tuachane tu aisee nilihisi Gizaa flani hivi nikataka kuzimia..!! Sikuweza kuongea na mtu yani nililia kama mtoto ila mama akajua tatizo aisee alinitia moyo na kunipa shule kuhusu wanawake yani toka siku ilee mwanamke hawezi isumbua akili yangu hata Kama Nimpende vipii... akizingua namuacha dak sifuri kitu kingine siwezagi Kumbembeleza mwanamke kabisaa.
 
Mnaokuwa mnasema kuumizwa unaumizwa mara moja mkatafiti tena hiyo kitu. Nimewahi kuumia mara mbili katika mahusiano na zote niliachwa.

Hii ya kwanza aliniacha baada ya kuingia chuo semister ya pili mwaka wa kwanza na tulipanga akifika mwaka wa pili tuwafikie wazazi watujue rasmi ingawa kwetu karibu wote walikuwa wanamjua.

Huyu wa pili alikuja kuniacha baada ya kuanza kuhusiana na mshikaji niliyekua nae mtaa mmoja. Jamaa was more than a friend, i use to take him as a brother to me ila akaamua alichokiamua na demu niliyependana nae. Niliumia, niliumia sanaa, ilifikia hatua nikampigia simu jamaa nikamuomba aniachie yule dem sababu nilitaka kutulia nae niwe na malengo nae, jamaa nilipokuwa naongea nae akanikatisha akanambia, oya.......................(akaniita jina), akanambia Umelewa, ntakupigia kesho.

Hiko kipindi nakumbuka hom tulikuwa na hali tete ya kiuchumi hatari, nilishawasamehe wote wawili na nina furaha na maisha yangu sana.
 
Back
Top Bottom