jangoma
Senior Member
- Sep 24, 2023
- 149
- 325
- Thread starter
- #61
Acha uongo wewe, hakuna mfanyabiashara makini ataacha kusimamia biashara zake akacheze na watoto.Labda useme walikua walimu wakaacha hiyo kazi ya kijinga wakaingia kwenye business. Kenge wewe 🤣🤣🤣Vijijini kuna walimu matajiri wana maduka mashine za kusaga,mashamba wengine huwa wanunuzi wa mazao kwa wakulima vijijini na kuyauza kwenye masoko yenye bei nzuri
Kuna walimu kumtoa kijijini umpe uhamisho anaacha kazi