Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 85,904
- 146,012
Wewe hata hujaelewa ninachokueleza hapa.Ni wajinga wenzako soon watanga'amua makosa na wataanza mchakato wa kuondoka .ushahidi ni mwingi ata humu jf asilimia kubwa ya watu wanaolalamikia kazi zao ni walimu .sijui kwanini we kenge unakaza fuvu
Ni sawa na naandika Kigiriki kwako.
Kwa sababu una kichwapanzi, huwezi kujadili mambo kimantiki.
Kuna watu wana uwezo wa ku survive na kufanya vizuri kwenye ualimu.
Kama wewe umeshindwa, sema wewe umeshindwa, usitake dunia nzima iuchukie ualimu kwa sababu wewe umeshindwa ualimu.
Magufuli kapigana kwenye ualimu, kaungaunga kafika mpaka chuo kikuu, kajiongeza mpaka kawa mbunge kafika katoboa mpaka kawa rais.
Wewe unalialia ualimu mbaya msiingie kwenye ualimu.