Hawa watu wengine kama mtoa mada ni wajinga sana. Wana umasikini wa mali na akili. Hawawezi kufikiria nje ya umasikini wao.Halafu watoto wetu na vizazi vyetu utawafundisha wewe, 😏
Hivi mwenzetu ww unatazama mambo Kwa angle Gani?ni watanzania wangapi wanauwezo wa kukunja hiyo pesa Kwa mwezi...?very few..labda ww ni mbunge ndo unaweza kuongea hivyo...lakini trust me take home kwa ajira mpya ni 695000/- ambayo kwa mtu mwenye malengo ni pesa ndefu saanaaa...Ona ulivyo mjinga na akili za kimaskini,kwaiyo mtu mwenye degree kulipwa basi salary 850,000 ni jambo la kujivunia !🤣🤣🤣🤣🤣🤣 baada ya deductions anabaki na kama laki 5 ivi
Kweli wajinga ni wengi hii nchi
Ualimu mzuri Sana, Likizo mar4kwa Mwaka!Walimu mnapenda kulalamika sana utafikiri nyie ndio sekta yenye tabu na masimango sana wakati nyie ndio sekta yenye off time ya kutosha ya kufanya mambo mengine
SHAME!
Kwani mimi nimeandikaje hapa?Tofautisha nili na nina
We ndio mjinga,mbona hujawa mwalimu.nonsense !Hawa watu wengine kama mtoa mada ni wajinga sana. Wana umasikini wa mali na akili. Hawawezi kufikiria nje ya umasikini wao.
Hata kama ualimu hauna maslahi, badala ya kupigania walimu wapate maslahi, unapiganiaje watu wote wasiwe walimu?
We ndio mjinga,mbona hujawa mwalimu.nonsenseHawa watu wengine kama mtoa mada ni wajinga sana. Wana umasikini wa mali na akili. Hawawezi kufikiria nje ya umasikini wao.
Hata kama ualimu hauna maslahi, badala ya kupigania walimu wapate maslahi, unapiganiaje watu wote wasiwe walimu?
Ivi wewe mbona unakaza fuvu, hujiulizi kwanini watu wengi wanaacha ualimu na kwenda kwenye issues nyingine? Mbona wanasiasa hawatoki kwenye politics kurudi kuwa walimu? Cant you reason,
This logical fallacy is called non sequitur.We ndio mjinga,mbona hujawa mwalimu.nonsense
Ndo maana nazidi kusisitiza wewe ni mjinga na una mentality ya kimaskiniHivi mwenzetu ww unatazama mambo Kwa angle Gani?ni watanzania wangapi wanauwezo wa kukunja hiyo pesa Kwa mwezi...?very few..labda ww ni mbunge ndo unaweza kuongea hivyo...lakini trust me take home kwa ajira mpya ni 695000/- ambayo kwa mtu mwenye malengo ni pesa ndefu saanaaa...
Wewe una frustrations za maisha ualimu umekupiga unaweweseka kwa hasira hapa.Hopeless hujielewi wewe.
Huyo ni Mwl aliyekimbia ualimu...nimependa reasoning yakoHapa hujakubali ulishakuwa mwalimu wewe?
Unajua mkuu humu ndani kidg nshaanza kupazoea Kuna watu chapisho nikijua ni ujinga hata sifungui,Hawa watu wengine kama mtoa mada ni wajinga sana. Wana umasikini wa mali na akili. Hawawezi kufikiria nje ya umasikini wao.
Hata kama ualimu hauna maslahi, badala ya kupigania walimu wapate maslahi, unapiganiaje watu wote wasiwe walimu?
Kuna watu ni wajinga katika kazi yoyote watakayoifanya.Unajua mkuu humu ndani kidg nshaanza kupazoea Kuna watu chapisho nikijua ni ujinga hata sifungui,
Watu wote tuwe engineer au madaktari ?
wangapi nje ya ualimu wanalia ajira ngumu?
Hata engineering au afya kwani ni wote wamefanikiwa ?
Watz tuna ujinga wa kuona kazi hii ni aibu,
Kama aibu Kuna mtu kamlipia Kodi au bill yoyote ni hakuna ?
Kuna ukuaji wa teknolojia hasa upande wa roboti je haoni kila kazi itakuwa chini ya roboti na kufanya soko la ajira kuwa gumu ?
Tunahitaji kujua mambo na kubalance kwa hicho kidogo kila mtu apate.
Ni wajinga wenzako soon watanga'amua makosa na wataanza mchakato wa kuondoka .ushahidi ni mwingi ata humu jf asilimia kubwa ya watu wanaolalamikia kazi zao ni walimu .sijui kwanini we kenge unakaza fuvuWeka namba hapa.
Watu wengi wanaacha ualimu hao wanaofundisha mashuleni ni nani?
Matatizo ya saikolojiaKuna watu ni wajinga katika kazi yoyote watakayoifanya.
Wakishindwa kazi wanaisingizia fani.
Unawezaje kujenga hoja watu wote wasiwe walimu, nje ya mihemuko ya kuwa emotional tu?
Wewe hujui mantiki ni nini, kwa sababu hata hiyo mantiki imeandikwa zaidi Kiingereza na wewe una inferiority complex ukiona Kiingereza tu.Wewe ni mjinga na kingereza kingi kisichokua na mantiki