Principle girl
JF-Expert Member
- Jul 31, 2014
- 1,675
- 1,754
Destiny can't be the sameNdio nimekuwa Sasa na maisha yanaenda uwe mwl uwe muhasibu uwe whatever the destiny is the same
Destiny can't be the sameNdio nimekuwa Sasa na maisha yanaenda uwe mwl uwe muhasibu uwe whatever the destiny is the same
We ni mwehu unahitaji matibabu ya akiliHii ndio the worst job ever, usikubali kuwa mwalimu liwalo na liwe ,bora ukaponde kokoto
Mpumbavu sana wewe. Ikiwa wote tutagoma kuwa waalimu, ni nani atawafundisha watoto na ndugu zako?Hii ndio the worst job ever, usikubali kuwa mwalimu liwalo na liwe ,bora ukaponde kokoto
Angebakia sasa kwenye ualimu kama una umuhimu.mbona hatuskii watu wakitoka kwenye fani zingine kuja kwenye ualimu ila wanatoka kwenye ualimu kwenda kwenye fani nyingine?Ualimu una umuhimu kuna wenzio wakina nani yule wamecheza na chama cha kijani wamepewa ukatibu mkuu mtu alikua mwalimu shule ya msingi magomeni kagera
Ungesema kwa baadhi wako walimu wenye nidhamu ya kazi na nidhamu ya fedha wanamiliki hadi majumba na magari na mashamba makubwa ya kilimo cha biashara, wana hadi bodaboda na bajaji na daladala na ualimu hawaachiHii ndio the worst job ever, usikubali kuwa mwalimu liwalo na liwe ,bora ukaponde kokoto
Ndio hivyo walimu wengi wanalipwa pesa nyingi wakistaafu kwa hio huu msoto wa huku mwanzo unaisha ukishastaafu kibunda kirefu kinaingiaRaha ya maisha ni ukiwa na nguvu kulipwa uzeeni pesa inaishia kwenye matibabu ya magonjwa ya uzeeni
Kuna walimu private schools wanaishi maisha mazuri tu.Hii ndio the worst job ever, usikubali kuwa mwalimu liwalo na liwe ,bora ukaponde kokoto
Walimu mnapenda kulalamika sana utafikiri nyie ndio sekta yenye tabu na masimango sana wakati nyie ndio sekta yenye off time ya kutosha ya kufanya mambo mengine
SHAME!umsk
Acha uongo! Mtu mwenye biashara ya kueleweka inayomuingizia fedha ya maana abaki kwenye ualimu kufanya nini? Wadanganye wajingaUngesema kwa baadhi wako walimu wenye nidhamu ya kazi na nidhamu ya fedha wanamiliki hadi majumba na magari na mashamba makubwa ya kilimo cha biashara, wana hadi bodaboda na bajaji na daladala na ualimu hawaachi
Popote kwenye ajira kama huna nidhamu ya kazi na nidhamu ya pesa utaichukia hiyo kazi hasa
Ndio chanza ni ualimuAngebakia sasa kwenye ualimu kama una umuhimu.mbona hatuskii watu wakitoka kwenye fani zingine kuja kwenye ualimu ila wanatoka kwenye ualimu kwenda kwenye fani nyingine?
A matter of perceptionDestiny can't be the same
Inategemea unaongelea level ipi? Mfano shule zinazofaulisha sana za sekondari za private wana walimu hadi ma injinia wanafundisha masomo ya fizikia na hisabatiAngebakia sasa kwenye ualimu kama una umuhimu.mbona hatuskii watu wakitoka kwenye fani zingine kuja kwenye ualimu ila wanatoka kwenye ualimu kwenda kwenye fani nyingine?
Jamaa anakwambia ukweli sasa unabisha nini yaan kua UWT tayari wewe ni fursa tosha kwa Serikali maana lazima wakutumie kuwaibia kura ili ulipwe vizuriAcha uongo! Mtu mwenye biashara ya kueleweka inayomuingizia fedha ya maana abaki kwenye ualimu kufanya nini? Wadanganye wajinga
Brother na hapa Niko kwenye kochi nimetulia baada ya kuchakata aisee pisi nayokula ni Kali mno afu gen z kipaji na ni mwaka wa 3 sasaNa hutopata demu mzuri ngo' ukitongoza akajua tu we ni mwalimu ,demu huyooo
Sasa hapo macho kwenye mchuzi mkono kwenye ubwabwaKuna walimu private schools wanaishi maisha mazuri tu.
Ukishindwa kujiongeza, kujibrand na kuji market utafulia fani yoyote.
Usikariri.