kibobori mahoro
JF-Expert Member
- Dec 12, 2022
- 8,625
- 12,172
Ila hao waalimu walikufundisha na ukafika hapo ulipo. Labda uwe hujui kuandika na kusoma, huu uzi mtu kakuandikia.
SureDaah Mzee Baba apa umenena hii Kada Kwa mwanamke Sawa lkn kama Una vision kubwa Hakka sio kaz hii hapa NI Sawa na kujiegeza ...mm NI tcha naelewa
Habari yako bhana Mpwayungu...kweli mwalimu analipwa 1,800,000/= (nimeona Mshikaji kaanza kazi 2010 na analipwa mihela yote hiyo)Mi sio mwalimu kwa sasa , ndugu jasusi eli cohen.ila niliwahi kuwa na mpk sasa bado naona kwa ndugu na marafiki jinsi ambavyo hii kada haijabadilika. The worst ever, ukitaka professional poverty ingia kwenye ualimu.
Hii ndio the worst job ever, usikubali kuwa mwalimu liwalo na liwe ,bora ukaponde kokoto
NAUNGA MKONOAcheni kukopa kopa ovyo kwenye mabenki&kausha damu, hata kazi mtaipenda na kuithamini.
Maisha myakosee wenywe halafu msingzie kazi yenu.
Jiongezeni, jishughulisheni nje ya field yenu mtafnikiwa.