Kweli we mamdenyi kwelikweli maendeleo huletwa na serikali madhubuti na yenye sera safi zenye kutekelezeka hivyo unataka kutuambia wananchi tutafute wakandarasi na tuwalipe waanze kutengeneza barabara? Je kodi tunakusanya sisi wananchi? Migodi ya madini tunamiliki sie? Kama vipi nenda kupika tu hutapungukiwa kitu.Kuliko kuja na michango isiyo na maana
Kweli we mamdenyi kwelikweli maendeleo huletwa na serikali madhubuti na yenye sera safi zenye kutekelezeka hivyo unataka kutuambia wananchi tutafute wakandarasi na tuwalipe waanze kutengeneza barabara? Je kodi tunakusanya sisi wananchi? Migodi ya madini tunamiliki sie? Kama vipi nenda kupika tu hutapungukiwa kitu.Kuliko kuja na michango isiyo na maana
CHADEMA - KADIMA
CHA- KA
DE-DI
MA-MA
Mwandishi ulipaswa kwanza kujua aliyekuwa anatamka maneno haya anatumia lugha ya Kiingereza.
Katika matumizi ya Lugha ya kiingereza si ajabu kwa ''CHA'' kutamkwa KA mfano: neno ''Character'' au ''Chameleon'' na ''DE'' kutamkwa ''DI'' kwa mfano neno DECEASED
Kwa hili la matamshi sijaona tatizo,kama ni mfuatiliaji wa lugha nina hakika unafahama tolerance katika uzungumzaji na utamkaji wa maneno ya lugha ngeni kwa mtu.
Hata wewe nenda kapike mkuu huwa naona wewe ni mweupe sana kichwani na pia huna hojaAcha kudharau jinsia ya kike. Jadili hoja...
teh teh teh teh mtanivunja mbavu. hicho ni chama kipya cha Dr Slaa na JoseAsante kwa ufafanuzi. Sasa tutajie kwa kichina KADIMA inatwaje?
Hata wewe nenda kapike mkuu huwa naona wewe ni mweupe sana kichwani na pia huna hoja
Mu-Israeli unataka tz ikabidhiwe kwa paul kagame
au unataka nini hasa;
Hayo maendeleo unayosema ni yapi kwani;
Na unataka nani akuletee usiposugua kichwa chako
ukisaidiana na wanaokuzunguka ili mjiletee hayo
maendeleo unayotaka.
Sawa kabisa, mimi najishughulisha sana na kazi zangu.
Changamoto hapa serikali haifanyi sehemu yake.
Unajua kuwa bila serikali kufanya sehemu yake, hata ufanye nini, huwezi kuendelea wewe kama mtu binafsi.
Mfano:-
Serikali isipojenga miundombinu ya barabara, reli, maji, umeme, n.k. huwezi kusafirisha mazao toka shamba kwenda sokoni.
Serikali isipoboresha huduma za hospitali, shule, vyuo vikuu, n.k watoto hawatasoma vizuri.
Serikali isipokusanya kodi, huduma zote zitezorota.
Serikali isipoimarisha ulinzi ndani ya nchi, wahalifu watatawala na kutumaliza wote.
N.K.....
Ndio maana nasema wenzetu Rwanda wamepiga hatua sana kwenye maeneo hayo niliyoyataja hapo juu.
Serikali yao iko makini kuwahudumia wananchi wao ili wajishughulishe na kazi zao.
Sisi hapa TZ, serikali iko busy kuwatetea wahalifu wa 'unga', mafisadi, wawekezaji feki, n.k.
Hatutakaa tuendelee hata kama wewe na mimi tutafanya kazi masaa 24 na kuzalisha sana mali.
Badala yake mazao yetu yataozea mashambani, wahalifu wa 'unga' wataharibu watoto wetu, mafisadi watapora pesa zetu zote za kodi, n.k.
Upo hapo dada yangu..??????
Copy: ZeMarcopolo
Mu-Israeli unataka tz ikabidhiwe kwa paul kagame
au unataka nini hasa;
Hayo maendeleo unayosema ni yapi kwani;
Na unataka nani akuletee usiposugua kichwa chako
ukisaidiana na wanaokuzunguka ili mjiletee hayo
maendeleo unayotaka.
Hapo kwenye blue,
Tembelea thread hii hapa utaona jamaa wa Rwanda walivyo serious na nchi yao.
Rwanda hawana utajiri kama Tanzania, lakini ona 'swaga' zao kwenye thread hiyo..!!!
Sisi huku kila kukicha tuko JF kumshambulia mtu fulani tu, huku nchi 'ikiliwa' na 'jamaa zetu' fulani.
https://www.jamiiforums.com/international-forum/535884-vision-city-kigali-rwanda.html
Copy: ZeMarcopolo na FaizaFoxy.
Sawa kabisa, mimi najishughulisha sana na kazi zangu.
Changamoto hapa serikali haifanyi sehemu yake.
Unajua kuwa bila serikali kufanya sehemu yake, hata ufanye nini, huwezi kuendelea wewe kama mtu binafsi.
Mfano:-
Serikali isipojenga miundombinu ya barabara, reli, maji, umeme, n.k. huwezi kusafirisha mazao toka shamba kwenda sokoni.
Serikali isipoboresha huduma za hospitali, shule, vyuo vikuu, n.k watoto hawatasoma vizuri.
Serikali isipokusanya kodi, huduma zote zitezorota.
Serikali isipoimarisha ulinzi ndani ya nchi, wahalifu watatawala na kutumaliza wote.
N.K.....
Ndio maana nasema wenzetu Rwanda wamepiga hatua sana kwenye maeneo hayo niliyoyataja hapo juu.
Serikali yao iko makini kuwahudumia wananchi wao ili wajishughulishe na kazi zao.
Sisi hapa TZ, serikali iko busy kuwatetea wahalifu wa 'unga', mafisadi, wawekezaji feki, n.k.
Hatutakaa tuendelee hata kama wewe na mimi tutafanya kazi masaa 24 na kuzalisha sana mali.
Badala yake mazao yetu yataozea mashambani, wahalifu wa 'unga' wataharibu watoto wetu, mafisadi watapora pesa zetu zote za kodi, n.k.
Upo hapo dada yangu..??????
Copy: ZeMarcopolo
Kama unatamani rwanda nenda ukaone cha mtema kuni;
kipende chako Mu-Israeli
siku ingine utatamani na mke wa mwenzio kwa kuwa anatunzwa
vizuri na mume wake.......... ha ha ha .....utani tu lakini.
Asante japo sitapatembelea ili nisije ingia hasira nikajikuta
naichukia nchi yangu.
Hivi ukiwa jf unatumia akili zako zoote hapo
Nakushauri uweke akili zako kwenye miradi yako ya maendeleo
yako na ya nchi yako, jf ni kama burudani tu wala usitumie nguvu nyingi sana.
Nchi imeuzwa na wahuni watu wanataabika,halafu wewe unakuja na utani wako kama huu. Mama huwezi nenda kwenye majukwaa mengine kama mapenzi, mapishi, udaku nk.Asante japo sitapatembelea ili nisije ingia hasira nikajikuta
naichukia nchi yangu.
Hivi ukiwa jf unatumia akili zako zoote hapo
Nakushauri uweke akili zako kwenye miradi yako ya maendeleo
yako na ya nchi yako, jf ni kama burudani tu wala usitumie nguvu nyingi sana.
Dr Slaa kadanganya!! Mimi nadhani mngetupa sentence inayoonyesha uongo wake au mngetupa link ya video ya mahojiano kama mliyotupa ya Naibu Waziri wa Elimu Dr Mheshimiwa Philip Mulugo
Na pia mnaikumbuka ile ya Fastjet, alipoulizwa sababu ya umaskini Tanzania akasema hajui?? Sio mnatuletea maneno ya kiswahili wakati majadiliano ni ya kiingereza
English for English
Swahili for swahili
Hizo hoja mnazo zisema hazipo
Joash
Auze shilingi ngapi?... Kwa lugha nyepesi ni kwamba interview ya Slaa imeshindwa hata kuuza jina la chama!....
Tafuta muda uyasikilize mahojiano ya Slaa. Babu kaabisha mno!
Umemsikia katibu mkuu wa KADIMA?